Tbc one hii ni aibu kwa kweli........

Tatizo hilo la kweli, makosa huanzia kwa waandishi na kama wahariri hawakupitia vizuri taarifa hiyo basi ndo hayo uliyoyaona yanajitokeza.

Tatizo la taarifa ya Rais wa Brazil kuwasili nchini na wakati huohuo kuwa atapokelewa na Rais Kibaki ni la Mpangilio ambayo wa kulaumiwa ni mhariri aliyepanga na si mtangazaji kwasababu yeye analetewa labda alichopaswa kufanya ni kurekebishia hewana kama naye alipitia kabla ya kuingia studio.

Jambo la Msingi hapa kinachoonekana pale waandishi wa TBC wanajiona wako juu ya wenzao wa vyombo vingine kwahiyo wanasahau mambo ya msingi kikazi hadi taarifa ya habari wanasoma kama vile Clause FM wanavyofanya, hawajui kuwa ile ni chombo cha Taifa. Zamani RTD ilikuwa inaajiri waliofunzwa pale lakini siku hizi kujuana bwana, mtu analeta kijana wake aajiriwe, wanasiasa nao wasumbufu nasikia ikitanagzwa ajira wanapeleka watoto na vimemo hata wasipokuwa na uwezo wataajiriwa.

Naomba kuwasilisha wana jamii.
Kuna ukweli ndani yake. Sitarajii makubwa kutoka kwao hasa ukizingatia kuwa watangazaji na waandaa habari wameshatiiza malengo yao (kuwajiriwa na TBC) Nafikiri kuna haja ya kubadili mfumo. Nakumbuka zamani watangazaji walikuwa makini licha ya teknolojia duni, sijui wakati huu kuna nini? Kuna haja basi ya kuwawajibisha wahariri ili kuboresha matangazo yao.
jambo jingine linalonikera ni upendeleo wa wazi wa baadhi ya watangazaji kama huyu Mr Upara katika kipindi cha asubuhi akiwa na wawakilishi wa vyama vya siasa, kwake sisiem ndo kama mungu wake au mbwa mbele ya chatu kazi yake ni kusaidia kujenga hoja na kuponda maelezo ya wanasiasa wa vyama vingine. TBC lazima irejeshe heshima yake la sivyo itakuwa sawa na gazeti la uhuru

Nawasilisha
 
...Kumbe na wewe umemuona eeh? Unaona kabisa jamaa anatangaza kwa namna ya kutaka asisahauliwe kwenye ufalme ujao wa miaka mitano! Ndio maana Mungu na Uholanzi walimuumbua kwa kuifungasha virago timu ya Brazil aliyokuwa anaipigia Debe sana! Asubiri pia pale Chama Chao kitakapofungashwa virago! hakuna kisichowezekana.
 
jamani wote tunajua kwamba hapo TBC hakuna kinachofanyika, Tido Mhando hana track record popote duniani alikua mkuu wa kitengo cha kiswahili cha BBC cha watu kumi kazi kubwa sana sana aliyofanya ni kupanga roster sasa kwa nini mtegemee maajabu? haya huyo Susa Mungy ameshafanya kazi wapi kumpatia kuongoza TV? dunia nzima inatushangaa na Tido hataki kuitangaza hiyo kazi kwa kuwa alishaomba board impe bibie kazi bila kuitangaza wakamshushua, mzee wa kazi uto CAG ameshatoa ripoti mara chungu nzima ya ulaji wa ajabu hakuna anayesikiliza, bodi imeshika kichwa maana tunasikia huo uchafu hata hujui uanzie wapi, mishahara mwezi wa nne hakuna eti Tido anataka kukupa mfuko wa saccos alipe misharaha, alikuta FD ya nguvu aliyoacha mwafisi kaila mpaka hakopesheki. Kichwa cha mwendawazimu Tanzania kikwete hawezi mfukuza kwa kuwa aliwekwa na Lowassa. Kazi anayoifanya ni kumpiga vita mengi na IPP lakini wanajibiwa na mapigo toka kwa mungu ona `Jerry Muro walivyomsababishia kitu mbaya, tunachotakiwa ni kusisitiza atoke watanzania wenye uwezo waende kufanya hiyo kazi puppet mkkubwa mpenda ngono huyu na sijui mume wa huyo dada kalishwa nini mpaka hachukui hatua ama ndio ilimradi mkono uende kinywani?
 
Huyo upara hana tofauti na Ephraim kibonde na gardner habash, hana quality za kuwa hapo kazi anayoijua ni kubana pua za taarabu na kumsafisha zitto
 
Back
Top Bottom