Hujawahi kumkuta anamwaga nondoHa ha haaaa.. Le baharia..... Sijawahi kumuelewa huyu Mzee.
Mwache Deo Kisandu apumzike, kuna vichaa wengi hapa, kuna yule jamaa wa Pentagon mchaga engineer sijui ama muosha vifaru sijui kaishia wapi.Jamaa liko vizuri kuliko.
Kweli nimeamini kuanzia leo hat Deo Kisandu ntaanza kumzingatia.
Mtu anaweza kujitoa akili kumbe zimo.
Ngoja Leo nimuone huyo le mutuLemutuz yuko live TBC anamwaga elimu kuhusiana na usafiri wa majini huku akitumia uzoefu wake wa kutumukia fani ya uhandisi wa meli kwa zaidi ya miaka 20. Huyu bwana anastahili awepo katika tume ya uchunguzi wa ajali ya Ukara.
Hapo tu ndio hua ana fail yule fazaHivi huyu ndio Lemutuz? Mimi nilijuaga ni kijana mmoja mzembe mzembe kumbe ni dingi kabisa asee kumzidi hata dingi yangu?
Mbona huwa anabisha na wale watoto wa Instagarama sasa?
Siyo kila mtu yuko na access ya TBC, weka maelezo yake hapaAngalia TBC yuko hewani
Lemutuz ni yule jamaa anayejua mambo mengi, sijui kwanini hajapewa wizaraLemutuz yuko live TBC anamwaga elimu kuhusiana na usafiri wa majini huku akitumia uzoefu wake wa kutumukia fani ya uhandisi wa meli kwa zaidi ya miaka 20. Huyu bwana anastahili awepo katika tume ya uchunguzi wa ajali ya Ukara.
kwani sio binadamu mkuuHa ha ha wamekosa mtu wa kumualika Tanzania nzima ?