Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,674
- 37,852
Kwenu Tbc
Hili nimeona nionglee waazi;embu tumwache babu wa watu apumzike kwa amani jamani,......mwanzoni mlianza vyema "sikila sikio la mkuu""
mkawa mnatoa picha ya nyerere na hotuba yake
hivi sasa mmeanza kuweka maruani wa mafisadi pembeni na mnatuambia tuwasikilize lipi jipya wanalo waanaharamu hawa wanaoenda kufungua mahoteli na mikutano ya mafisadi hao hao wanawapeleka mahakaamani unahisi kuna kesi,..?kama mmeamua kutoa hotuba za babu ,toeni pekee msimchafue na hao walarushwa mafisadi mwisho mtatuwekea picha ya kingunge??ole wenu nasema nyerere akisiikia hili
Hili nimeona nionglee waazi;embu tumwache babu wa watu apumzike kwa amani jamani,......mwanzoni mlianza vyema "sikila sikio la mkuu""
mkawa mnatoa picha ya nyerere na hotuba yake
hivi sasa mmeanza kuweka maruani wa mafisadi pembeni na mnatuambia tuwasikilize lipi jipya wanalo waanaharamu hawa wanaoenda kufungua mahoteli na mikutano ya mafisadi hao hao wanawapeleka mahakaamani unahisi kuna kesi,..?kama mmeamua kutoa hotuba za babu ,toeni pekee msimchafue na hao walarushwa mafisadi mwisho mtatuwekea picha ya kingunge??ole wenu nasema nyerere akisiikia hili