muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Yaani hawa TBC1 wanakela mno,ile station yao TBC2 inafanya kazi gani?,ni muziki tu 24hrs, kweli mchawi mpe mtoto alee,nakumbuka Ayoub Lioba kabla alivyokuwa mjuaji,leo kapewa vumba! Kakaa kimyaaaa..