Nimepita mahali naona Tbc wana rusha mziki na watu wanaserebuka. Sijui kama ni kipindi kilicho lipiwa au ni aje. Hapo Dodoma bunge linaendelea gizani.
Bado Tbc wanasema hawana pesa za kujiendesha
Yaani hiki chombo cha taifa uwezo wake ni kurusha matangazo ya NDOA BUREEEEE lakini ukiwaambia turushieni matangazo ya BUNGE LIVE wanapata kigugumizyeeee..
TWAAFWAAA!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.