TBC mnatia aibu sana

Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa

Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu

Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Na wewe ulikuwa unaitazama ya nini?
Wajanja wote walisha achana nayo!!
 
Matatizo mengine ni ya kujitakia tu. Kwanini kuangalia huo upuuzi ilhali vituo vingine vya kijanja 'walau vipo?
 
halafu watangazaji hawana mvuto wanapaka mafuta mengi usoni kama andazi khaaaaa
Hahahahahahaha....
Aisee nmecheka sana..Tatizo la nchi yetu wafanyakazi wengi WA serikali sio wabunifu. Wanajua Kodi ya kuwalipa mishahara IPO so hata asipobuni kitu mshahara upo pale pale..Aka shamba la Bibi.
Ila inauma sna kuwa Na TV ambayo Ni mfu
 
Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa

Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu

Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Hee Umenikumbusha
TBC
Utadhani wako kwenye majaribio
 
Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa

Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu

Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Wanaonyesha vipindi vya ndoa noma sana hii
 
Hao akina Dr Rioba mtawaonea tu, tatizo kubwa ni ccm, ccm haijawahi kuwa mfano mzuri toka kuasisiwa kwake
 
Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa

Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu

Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Mh!!! mbona picha zina ubora na habari zinarushwa vizuri tu ... au wewe unaangalia ile TBC ya zamani, wamebadili jina sikuizi ni Clouds TV ndio hiyohiyo iliyokuwa TBC ...

Nafkiri hiyo channel ya zamani kwa jina la TBC inawezekana wamesahau kuifunga, Serikali hawaitumii tena sikuizi, pia hata ile ya Chama Chetu naona nayo imeunganishwa inarushia matangazo yake kupitia Clouds FM
 
Back
Top Bottom