mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
E tv.HD
Tanzania broadcasting cooperationNini kirefu cha tbc
Na wewe ulikuwa unaitazama ya nini?Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa
Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu
Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Hahahahahahaha....halafu watangazaji hawana mvuto wanapaka mafuta mengi usoni kama andazi khaaaaa
Wajiendeshe kibiasharaKama bajeti ndogo unataka wafanyeje
Hee UmenikumbushaKwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa
Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu
Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
Wanaonyesha vipindi vya ndoa noma sana hiiKwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa
Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu
Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa
hahahaaahahahaahhahaahHivi hii televisheni bado ipo??
Maana tangu serikali ihamie Dodoma, na ishu za kitaifa zimehamia Clouds.
Mh!!! mbona picha zina ubora na habari zinarushwa vizuri tu ... au wewe unaangalia ile TBC ya zamani, wamebadili jina sikuizi ni Clouds TV ndio hiyohiyo iliyokuwa TBC ...Kwa kweli mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia matukio kadhaa yanayokuwa yakirushwa live na hii television yetu ya Taifa
Kwa kweli ubora wa picha zake ni jambo linalokera na kufadhaisha sana,hasa ukizingatia kwa sasa kuna television binafsi ambazo kiukweli picha zao zina ubora wa hali ya juu
Shirika hili kama yalivyo mashirika mengine ya serikali, yamekuwa yakipokea ruzuku toka serikalini
Wanashindwaje kushindana na vyombo binafsi?
Na tena TBC inaongozwa na nguli na msomi wa tasnia ya habari hapa nchini Dr Ayub Ryoba, kwa kweli jitahidini kubadilika
Mnatutia aibu kama Taifa