Kusema ukweli leo nimesikitishwa saana na TBC.Kwa bahati mbaya hili sio tatizo la leo tu, limekuwa likijitokeza mara nyingi sana. Sasa leo Kamanda Msomi Mwanasheria Mh. Tundu Lissu ''Mnyampaa'' amekatiwa matangazo wakati akiwasilisha maoni ya wachache kamati namba 4. TBC hawakutoa taarifa yeyote kama kuna tatizo, tena kwa dhihaka wakaweka hotuba ya Kikwete ''Dr''. Haya ni matumizi mabaya ya chombo cha umma, huu ni uchochezi wa hali ya juu
Nimshukuru Mwenyekiti kwa kuona haja ya Mh.Tundu Lissu kuwasilisha tena jumatatu. Sasa basi, natoa onyo kwa TBC na mabwana zao, kwamba wakikata Jumatatu, tunang'oa mitambo yenu