markach
Senior Member
- Oct 18, 2010
- 121
- 12
Ubaguzi kwa wana chadema, ni mkubwa utadhani ccm ndio walipa kodi peke yao. Ebu Angalien TBC1, hawawezi kutoa habari yeyote nzuri ihusiyo cdm, bali mbaya ndio wataitangaza weeeee. lkn ikiwa hata katibu wa ccm wa kata ameongea watairusha hewani kuliko kurusha ya m\kiti wa cdm. Mshana Naomba uelewe ya kuwa hata CDM nao wanahaki ya kusikiliza yanayofanya na viongozi wao kupitia vyombo vya habari vya Uma na sio ccm peke yako.