Pragmatist
Member
- Sep 21, 2012
- 18
- 1
kila sekta ni shida tu,kwa upande wa habari namkumbuka sana DUSTAN TIDO MHANDO - Chini yake mambo yalienda vizuri kwa kasi
ya ajabu tuliipenda sana TBC na redio yake lakin kwa sasa inatia huzuni zaid imepoteza mwelekeo kabisa.
Ipotee milele. Nothing to loose
Televisheni ya Taifa (TBC) imetoweka hewani kwenye dish kwa zaidi ya wiki mbili sasa bila taarifa. Mbona hamtupi sababu au ndo mnatulazimisha tununue ving'amuzi vya mbia wenu Star Times? Tunakumbuka yaliyotokea enzi za Mkurugenzi wenu aliyeng'olewa. Acheni ubabaishaji. Tunataka kodi zetu zitumike kuhalali.
Hilo nalo wazo mkuu.Hakina Yuda huwa hawakosi.Aliyepo anaogopa kuonyesha makucha wasiMHANDO.Chezea mfumo wewee..Toothles dog.Tutakulilia MHANDOMimi siamini katika ukabila, lakini naomba kujuzwa, jee kabila la mtu ni determinant ya jinsi atakavyoongoza shirika, kampuni au taasisi???. Nashangaa tu Mhando Tanesco magumashi, Mhando TBC bomba, Mshana TBC magumasi etc etc