TBC journalist Jerry Muro held over alleged graft

Huyu Muro wamembeba haraka haraka na kumpandisha kizimbani lakini mafisadi kama Mzee wa vijisenti na Iddissa Rashid walionufaika na utapeli wa ununuzi wa rada na akina Jeetu, Manji, Subhash, Rostam walioifisadi nchi yetu kwa namna moja au nyingine bado wanapeta uraiani! Kweli sheria za Tanzania zimeoza kabisa.


Lakini MKuu hata wanaofikiswa mahakamani kwa ruswa si utasikia ni hakimu wa mahama ya mwanzo, watumishi wa kawaida, yale makambale hata siku moja hayawezi pelekwa mbele ya pilato, wana mikono mirefu, naona taasisi kama TAKUKURU ipo tu kutekeleza matakwa ya IMF na world Bank, pamoja na EU na US basi hakuna kingine, wakwanza kufikishwa mahakamani alikuwa ni Hosea na watu wake kwa uzembe Iringa huko MURo alipoenda kuvizia mapolisi TAKUKURU si wapo wanafanya nini, wanakula tu kodi za walala hoi bure, ivinjiliwe mbali tu hiyo taasisi
 
Eheee hebu sema kwa sauti kubwa bana maana hili nalo neno ehee!!

mpaka hii kesi iishe teknikalitiz zote za sheria utakuwa umekuwa mtaalamu na tutamuomba jaji ramadhani akuapishe uwe wakili wa kujitegemea wallah!!!
 
My God !!! Sasa naamin kuwa hii kesi ni Movie ya polisi,Huyu Edmund Kapama ni Polisi informer,kwa maana hiyo amewekwa kama ni mmoja wa wachezaji kwenye hii movie ili wamkomoe kijana JM.
This is pure mafian,Shame on our policemen

Kama usemayo ni kweli basi tupo ukurasa mmoja kuwa jamaa huenda alitumwa na polisi amfuate Jerry ampatie issue kuwa kuna kazi yaani jamaa ana miliki mali kifisadi na kumvuta Jerry kuwapeleka akishirikiana na Wage sehemu walizo kuwa wametega CCTV zao ili wapate picha za kumyamazisha. This case is VOID AB INITIO
 
hata katika akili za kawaida bila ya kuambiwa huyu jamaa wanamuonea na haya yote ni kutaka kumziba mdomo. tangu lini polisi wakafanya kazi ya PCCB? hii nchi bwana hatutafika popote na wameshazoea fukia fukia, ukisema kweli basi wewe ndio mbaya
 
mpaka hii kesi iishe teknikalitiz zote za sheria utakuwa umekuwa mtaalamu na tutamuomba jaji ramadhani akuapishe uwe wakili wa kujitegemea wallah!!!
Yaani bht we acha tu nilivyolivalia njuga hadi nione mwisho wake lol
 
My God !!! Sasa naamin kuwa hii kesi ni Movie ya polisi,Huyu Edmund Kapama ni Polisi informer,kwa maana hiyo amewekwa kama ni mmoja wa wachezaji kwenye hii movie ili wamkomoe kijana JM.
This is pure mafian,Shame on our policemen

ooops kwa hiyo wamempandikiza ????aaaaaaaaaaagh
 
Kama usemayo ni kweli basi tupo ukurasa mmoja kuwa jamaa huenda alitumwa na polisi amfuate Jerry ampatie issue kuwa kuna kazi yaani jamaa ana miliki mali kifisadi na kumvuta Jerry kuwapeleka akishirikiana na Wage sehemu walizo kuwa wametega CCTV zao ili wapate picha za kumyamazisha. This case is VOID AB INITIO


Hivi jamani simu number si zimekuwa registered? Hebu Jerry pamoja na kampuni ya simu yake watoe ushirikiano- zitolewe particulars za simu iliyomtaka Jerry kufika kwenye eneo la tukio kwa madai ya uwongo ya kuwepo na dili la kulitoa kwenye vyombo vya habari.

1. Ikipatikana ni nani basi tutajua muhusika kama alikuwa bw. Mawenge (Wage) then tutajumlisha moja na moja
2. Isipopatikana kwa maana ya kuwa ikionyesha kuwa haijaregistiwa tutajua lilikuwa changa la macho

Kwani nini lengo la kuregister namba za simu?
 
Tulikuwa tunawajua polisi informally kuwa ndio viongozi wa mambo yote machafu hapa nchini kama kubambikia kesi, ujambazi, mauaji, uonevu, ukandamizaji na unyimaji wa haki za binadamu za kila aina. Kwa hili la Jerry wameamua kutangazia umma rasmi bila kificho. Wasiwasi wangu kwa Jerry ni zaidi kwamba hata asipofungwa, yuko hatarini zaidi kupatwa na baya la kuhatarisha maisha yake; kama sio ajali, kuvamiwa na majambazi, kudhaniwa jambazi na kupigwa risasi au kitu kama hicho.
 
Hivi jamani simu number si zimekuwa registered? Hebu Jerry pamoja na kampuni ya simu yake watoe ushirikiano- zitolewe particulars za simu iliyomtaka Jerry kufika kwenye eneo la tukio kwa madai ya uwongo ya kuwepo na dili la kulitoa kwenye vyombo vya habari.

1. Ikipatikana ni nani basi tutajua muhusika kama alikuwa bw. Mawenge (Wage) then tutajumlisha moja na moja
2. Isipopatikana kwa maana ya kuwa ikionyesha kuwa haijaregistiwa tutajua lilikuwa changa la macho

Kwani nini lengo la kuregister namba za simu?

nashangaa simu zimetumika kstika hiki kisa, na zipo registered why ushahidi kama huo hautumiki? simu ya wage ichunguzwe kama kapigiwa cmu yenye madai hayo pia ya Muro, na hao matapeli cmu zao huwa wanawasiliana na nani mara kwa mara! ukweli upo wazi tu mbona?
 
Mkuu kweli kazi ipo pamoja na video bado unahitaji source kweli hutaki masikhara

Mkuu nillisoma hii habari ikiwa haina picha try to see niliuliza source nikiwa page one na picha haikuwepo,nilifanya kosa kuuliza source na wakati huo ndo habari ilikuwa imeandikwa?
 
Tusubiri wataalam wa vifungu vya sheria watoe tofasili ya tuhuma dhidi yake kwa kuangalia sheria zinazoendana na makosa yanayodaiwa kuyafanya! Kizuri ni kwamba Serikali imeingilia kati na kuagiza kesi iharakishwe ili kutuondolea maswali wananchi!
 
Tulikuwa tunawajua polisi informally kuwa ndio viongozi wa mambo yote machafu hapa nchini kama kubambikia kesi, ujambazi, mauaji, uonevu, ukandamizaji na unyimaji wa haki za binadamu za kila aina. Kwa hili la Jerry wameamua kutangazia umma rasmi bila kificho. Wasiwasi wangu kwa Jerry ni zaidi kwamba hata asipofungwa, yuko hatarini zaidi kupatwa na baya la kuhatarisha maisha yake; kama sio ajali, kuvamiwa na majambazi, kudhaniwa jambazi na kupigwa risasi au kitu kama hicho.
Ni kweli usemayo Shishye but kama asipopatwa na hayo uliyosema basi ajiangalie watambambikizia kesi muda si mrefu -baada ya kuisuka vizuri ili wapate kujigamba vifua m,bele kuwa 'si tuliwaambia, kijana si msafi kihiiivyo' ili wajisafishe na wao
 
Tusubiri wataalam wa vifungu vya sheria watoe tofasili ya tuhuma dhidi yake kwa kuangalia sheria zinazoendana na makosa yanayodaiwa kuyafanya! Kizuri ni kwamba Serikali imeingilia kati na kuagiza kesi iharakishwe ili kutuondolea maswali wananchi!
Wananikumbusha Adam Mwaibabile mie hawa!!
 
JF addict! Masanilo niache, nafanyakazi kwa mhindi ndio maana namuibia muda, kwani naye anaibia nji hii. Utamuonea huruma J Patel wa EPA kweli!
 
Hivi jamani simu number si zimekuwa registered? Hebu Jerry pamoja na kampuni ya simu yake watoe ushirikiano- zitolewe particulars za simu iliyomtaka Jerry kufika kwenye eneo la tukio kwa madai ya uwongo ya kuwepo na dili la kulitoa kwenye vyombo vya habari.

1. Ikipatikana ni nani basi tutajua muhusika kama alikuwa bw. Mawenge (Wage) then tutajumlisha moja na moja
2. Isipopatikana kwa maana ya kuwa ikionyesha kuwa haijaregistiwa tutajua lilikuwa changa la macho

Kwani nini lengo la kuregister namba za simu?


Hiyo call detail haitasaidia unless iwe na content ya hayo mazungumzo, ambayo sidhani kama kampuni ya simu inayo. Inawezekana huyo bw. mawenge akawa kweli ndiye aliyempigia na wakazungumza. Hiyo sio ishu maana hata mimi nikikupigia sasa hivi japo huijui namba yangu utapokea na tutaongea. Nikidai baadaye kwamba ulinidai rushwa?

Labda watoe call details za mwezi mzima waangalie kama hizo namba zao zimekuwa zikiwasiliana frequently - implying kwamba likely walikuwa wanajuana kwa muda. Maana huwezi kupiga mara moja na kuomba rushwa hapohapo.

Unafikiri tuna jeshi lenye akili ya kufanya investigation kama hizi basi? We acha tu.
 
Back
Top Bottom