Wanakula muda wa waajili wao! badala ya kufanya kazi wako JF
Hahahaha...sawa kaka. Nadunda mzigo na window ya JF nimeminimize!
Wanakula muda wa waajili wao! badala ya kufanya kazi wako JF
MWANDISHI wa habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Jerry Muro, amepandishwa kizimbani na wenzake wawili ambao ni Deogratius Mgassa (35) na Edmund Kapama (52) ambapo wamesomewa mashitaka matatu yafuatayo:
Kukusudia kuomba rushwa, kula njama za kutenda kosa na kujifanya maafisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), kosa linalowahusu Kapama na Mgassa.
Kesi hii si ndogo kwa JM! Nimesoma mahali dogo naye si msafi kiasi hiki.......huenda pingu na bastola alikuwa anatishia wadau wamkatie kidogo dogo. Ngoja tusubiri mwendelezo wa kesi mashtaka na upande wa utetezi.
Bht mimi mnunuzi......nifike bei? ila bidhaa used hapana
haya hapo kwenye bold.....hakuna aliye msafi sawa!!! sisi tunataka waprove hiyo case beyond watever they say in law na watoe maamuzi ya haki....hivi makosa yamekuwa watered to 'kushawishi ' kupewa rushwa tu eeeh???
hamna pingu (shukrani kwa MMK alitu-alart wengine juu ya matumizi zaidi ya yale tuliyokariri) wala bastola hapo....
BTW: Fika bei fasta kabla hommeboy wako hajaamka basi)
haya hapo kwenye bold.....hakuna aliye msafi sawa!!! sisi tunataka waprove hiyo case beyond watever they say in law na watoe maamuzi ya haki....hivi makosa yamekuwa watered to 'kushawishi ' kupewa rushwa tu eeeh???
hamna pingu (shukrani kwa MMK alitu-alart wengine juu ya matumizi zaidi ya yale tuliyokariri) wala bastola hapo....
BTW: Fika bei fasta kabla hommeboy wako hajaamka basi)
Mkuu kweli kazi ipo pamoja na video bado unahitaji source kweli hutaki masikharasource please.
Nimepewa PM kuwa ni used.....am out!
Kwa maana hiyo kwa kuwa hakuna aliye msafi sheria ziendelee kutoheshimiwa? Tanzania nchi ya amani mapingu na bastola ya nini lakini .....nakosa jibu kabisa. Naomba mahakama itende haki
Noted.
yes, wanatakiwa waprove beyond reasonable doubt! au sio B!
nani kakwambia hii njii ya amani!!! we unaielewaje amani kwani?? that hatujaingia msituni kupigana so tuna amani??!!!!
sheria ipi hapo haijaheshimiwa Masa?? JM anamiliki chamoto kihalali I suppose ndo maana hakuna charges kwa hilo, pingu kadhalika wameshindwa kum-nail kwa hilo. the only one wamebaki nayo ndo ya rushwa....poor wakurupukaji wetu!!!
Hata mimi will be pleased mahakama itakapotenda haki (.........hapa utajaza mwenyewe)
haswa b!!!!!!!!!! na hapo mbona umeweka red vipi kwani!!! u think i can betray my msukuma???? no way!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
Now you have made me think!
Okay turudi kwen mada....JM kimsingi hakuna chaji ya maana. Bisha?
haswa b!!!!!!!!!! na hapo mbona umeweka red vipi kwani!!! u think i can betray my msukuma???? no way!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!![/QUOTE]
Now you have made me think!
sibishi wala nini, hovyo hovyo tupo hapo aaaaaaaaaaaaah ngoja wenyewe ma-learned proffession waseme. mi sioni kitu bwana B (afu nimekumis nashangaa wat z nt happening, bado nipo kibwabwa kabla hujapanda kwao Goeff so unaweze kunipitia tuende wote makambako)
Okay turudi kwen mada....JM kimsingi hakuna chaji ya maana. Bisha?
huwa naichukulia jf ni yetu wote, so kusema 'huyo mwakilishi wenu' badala ya 'mwakilishi wetu' sidhani kama ni lugha nzuri. Anyway, ngoja niendelee kulitafuta duka la pingu huku, nadhani nimepotea mtaa mmoja.
Ndugu yangu, nimezungumza kumfikisha mahakamani kwa kosa la kuomba rushwa. kama unayosema ni sahihi, mbona wameenda na maafisa wa TAKUKURU?polisi wana uwezo wa kukamata mtu yeyote anayevunja sheria za nchi hawana mpaka,kinachozingatiwa ni ushahidi wa kutosha.
yote maisha.....jerry muro mtoto wa mjini....
Eheee hebu sema kwa sauti kubwa bana maana hili nalo neno ehee!!My God !!! Sasa naamin kuwa hii kesi ni Movie ya polisi,Huyu Edmund Kapama ni Polisi informer,kwa maana hiyo amewekwa kama ni mmoja wa wachezaji kwenye hii movie ili wamkomoe kijana JM.
This is pure mafian,Shame on our policemen