Hiyo ni Muhimbili ya wapi?
Bado tu mnataka kuleta siasa kwenye uhai watu Chadema bana!!!
Chama
Gongo la Mboto DSM
Madaktari bingwa wametoa tamko kwamba wamegoma, TBC1 wanadai hali imeimarika! Kweli Tanzania ya Dhaifu ni zaidi ya uijuavyo! Au wamemchukua yule aliyekuwa waziri wa habari wa Saadam, Alsahaf, a.k.a "Comical" Ally kuwa mkurugenzi mkuu wa TBC!
Mkuu naona utaki kabisa Madaktari warudi kazini mnataka mgogoro uendelee Chadema mpate pakusemea.
Usicheze na ajira wewe, watoto wantakula pumba? JK ulitakiwa umwe mkali mapema! Asiyeridhishwa na malipo ya 3.5 M aATAFUTE MUAJIRI ATAKAYEMLIPA PESA HIYO SIO KUGOMA.
Jamani huu upuuzi mpaka lini??
we ndo unaleta siasa za maji takaBado tu mnataka kuleta siasa kwenye uhai watu Chadema bana!!! Chama Gongo la Mboto DSM
Mkuu mbona tumemsikia Dr akiongea anasema wamerudi kazini na wanamuomba rais waendelee na mazungumzo.