Hata Madaktari walipokuwa kazini bado watu walikufa kwa kukosa dawa na tiba zingine ambazo hazipatikani kisa serikali haina hela hizo za kwenda Rwanda, Burundi, USA nk. zinatoka wapi?
Binafsi sio kama sitaki mgomo uishe ila nataka Serikali iboreshe huduma za afya. Madaktari kabla hawajaanza mgomo ndugu zetu walikuwa wanakufa kwa kukosa dawa na huduma bora mahospitalini kisa Serikali ya CCM haina hela za kuboresha miundombinu ya afya lakini jambo la kujiuliza Serikali hihi ina fungu lakutosha la kununulia mashangingi na kufanya ziara nje ya nchi ambazo hazina tija kwa taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.