Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
inabidi tuunde kamati ya kufuatilia kiini cha tatizo kabla ya kuanza kuishambulia TBC kwani tbc imeleta naitaendelea kuleta mageuzi makubwa ndani ya taifa hili,imefanya mengi mazuri tusiyasahau .kosa moja halimfukuzi mke
Tutake radhi tafathali.:smash: