TBC ndio kioo cha Jamii ya Kitanzania... It just reflects on how we are... Wanavyo"bore" ndio waTZ (majority) tunavyo"bore".Tbc ukweli na uhakika!!!
huwezi amini lakini nfo ukweli mda huu taarifa ya habari inasomwa huku kuna nyimbo inapigwa kama vile muvi flani ndo staring anakuja kukomboa mateka walio tekwa.
Tv ya taifa ni janga la kitaifa huwezi kujivunia kabisa kuwa nchi ina kituo bora cha tv