emmanuel tv,...by the way wa nini mkuu?wana jf nimekuwa nikimsikia sana tb joshua lakini sijawahi kuona kipindi chake na sijui ni channel gani kupitia king'amuzi au
emmanuel tv,..by the way wa nini mkuu_mbona hata kwetu wapo tena wengi.Wana jf nimekuwa nikimsikia sana TB JOSHUA lakini sijawahi kuona kipindi chake na sijui ni channel gani kupitia king'amuzi au
Tv yake inapatika Kama una dish lwe na LNB ya KU Band weka frequince 12682 na symborate 26657.Wana jf nimekuwa nikimsikia sana TB JOSHUA lakini sijawahi kuona kipindi chake na sijui ni channel gani kupitia king'amuzi au
Mediacom inaosha kama bwana mkuu alivyokwambia. Hutajutia. All the best!
wana jf nimekuwa nikimsikia sana tb joshua lakini sijawahi kuona kipindi chake na sijui ni channel gani kupitia king'amuzi au