Hivi Bukoba utailinganisha na Mjiwetu wa Tabora!!We tulia tu Bukoba pazuri tu, huwezi fananisha na miji mingine kama mikoani.
Kuko vzr wapi.
Tazama barabara za katikati ya mji ni chafu, taa haziwaki, hakuna traffic lights, soko bado la mabati. Daladala zilistopishwa nk.
Halafu Mimi sina chama chochote Mimi nataka kuona Bukoba ikibadilika
Shida ipo kwanini Mada mbili mbili zote Jbo moja picha zile zileKuna shida kwani
Hivi Bukoba utailinganisha na Mjiwetu wa Tabora!!
Bukobda imebakia takataka
Hii ndo misifa inayohudumaza mji wa Bukoba
Mmeanza misifa yenuUkiona inaboa siunamute Tu . mbona kawaida.
Eti UchumiMaendeleo sio stendi tu , angalia uchumi kwanza
Ila Tz kuna siasa za kijingaNdugu Zangu Mjifunze Kuchagua
Kosea Kuoa Ila Siyo Kuchagua
Ukikosea Kuoa Mke Mnaweza Kuachana Muda Huo Huo
Lakini Ukikosea Kuchagua Hadi Miaka 5
Kupanga Ni Kuchagua
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania