chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 289
Sawa lkn sio Dr bado unawaweza kusoma phd hata miaka 10Mkuu PhD alianza nadhani 2015 kma sikosei..... Pengine anafanya by Dissertation tu so hapo inahitajika papers za kutosha kabla hujagraduate. Minimum ni miaka 5 so ni suala la muda tu but content wise ni PhD candidate yule.