Tazama video ya Jussa, jiulize ilikuwaje ACT Wazalendo ikaunda Serikali ya mseto

Mwandishi punguza chuki. Hio picha ya Jussa ni miongoni mwa mamia ya walijeruhiwa kabla na Luna wengi waliuawa. Hoja yako nini hapa?

Huijui siasa ya Zanzibar wala humjui adui was kweli was Zanzibar na pengine huwajui Wazanzibari wanataka nini.

Kama siasa iko hivyo unavyodhani basis kusingepatikana hata hiyo GNU 2009, maana watu walishakufa sana mwaka 2001.

Kufikia malengo kwenye siasa hakuna njia moja. Maalim na Wenzake wametumia njia zote kufikia malengo na hakufika asilimia 100.

Unataka kuchora picha ya uchonganishi kwenye msiba wa jemedari aliyekufa katikati ya mapambano kwa kumwita msaliti ilihali maelfu wanamlilia na kumuhitaji?

Akina Jussa wako wengi tokea 1995, 2000, 2005, 2010 ,2015 na 2020.

Kwa nini unaegemea 2020 pekee?

Wazanzibari wako kwenye mapambano na mwaka 2020 walichagua maridhiano kuendeleza mapambano yao. Jemedari Maalim alitangulizwa ndani ya GNU kwa maslahi ya Zanzibar.

Tangulia Maalim. Mwandishi usitoneshe watu vidonda.

Daima tutakukumbuka

..tatizo wanaoumizwa na kutiwa vilema ni wapinzani tu. ccm wao aaahh, wako na raha zao.

..binafsi simlaumu mtoa mada, na pia siwalaumu mnaounga mkono ACT kujiunga na GNU.

..ninachojiuliza ni hali hii ya wapinzani kufanyiwa unyama na ccm, na kutendewa kama raia wa daraja la tatu itaisha lini?
 
..tatizo wanaoumizwa na kutiwa vilema ni wapinzani tu. ccm wao aaahh, wako na raha zao.

..binafsi simlaumu mtoa mada, na pia siwalaumu mnaounga mkono ACT kujiunga na GNU.

..ninachojiuliza ni hali hii ya wapinzani kufanyiwa unyama na ccm, na kutendewa kama raia wa daraja la tatu itaisha lini?

Ndio tupo kwenye mapambano mkuu
 
Nyie acheni uchochezi! Mwenyezi Mungu hupanga kila jambo, uchaguzi huu ndio ulikuwa uchaguzi wenye matokeo mabaya kabisa kwa Maalim Seif Sharif Hamad lakini akakubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa!

Angalia ameenda Chato kumwaaga Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa JMT Dr.Magufuli na aka pledge commitments zake kwake , na amewaacha Wazanzibar wamoja kabisa.

Angalia mazishi yake jinsi yanavyofanyika kwa heshima kubwa, fikiria tofauti kama angekufa akiwa mtu wa vurugu na kuzira kama CHADEMA walivyokuwa wakitaka!

Hivyo tukubali tu kuwa sisi ni binadamu na mwisho wetu aujuaye ni Mwenyezi Mungu!
Maalima Seif Sharif Hamad amepigana vita vitakatifu na amemaliza kwa heshima kubwa ( Life well lived).
Rest In Peace Maalim, Amen!
Unabinua midomo kuwa Mwenyezi Mungu upanga kila jambo. Kwa hiyo kumtia jusa kilema na kupiga Lisu risasi ni mpango uliopangwa na Mungu?. Mifuvu mingine shida sana duniani hapa.
 
Kuna siku nitalizubgumzia hili. Kuna wapinzani wa kweli tuliowaamini tukiamini wanaweza kupima mambo kwa weledi. Hata legends wa hapa JF tuliowaheshimu wamekuwa wepesi sana. Wamechukuwa upinzani kuwa in chama Fulani na wamejifunika shuka hawataki kuyaona yaliyo nje.

Nadhani wana chuki na watu Fulani au eneo.

Tuweke hakiba ya maneno siasa ni sayansi. Vumilieni wanamageuzi wenzetu. Wakati mwengine kubalini kukosa safari ya mapambano iendelee.

Nadhani ninao wakusudia wananielewa.

Tuko pamoja.

Cc. Erithrocytes
Sayansi ya kutia watu ulemavu na kuuwa.
 
Kiukweli


Wakati mwingne enyi baadhi ya Wafuasi wa CHADEMA punguzeni kiwango cha chuki, ujinga na ubinafsi mlio nao

Jambo alilolifanya Maalim Seif (RIP) la maridhiano kwa kuunda SUK ni kwa maslahi mapana ya wazanzibari wote bila kujali maslahi binafsi ya kisiasa, walioumizwa au kufurahishwa na ishu za uchaguzi mkuu

Tukumbuke Umoja wa kitaifa huzaa upendo, amani, mshikamano, mashirikiano, kusameheana na mwisho huzaa bidii ktk kufanya kazi na kujenga nchi ya wazanzibari na Tanzania kwa ujumla

Mustakabali wa nchi ndio kila kitu ktk kuleta maendeleo ya nchi na wananchi wake

2015 baada ya kumalizika uchaguzi mkuu Bara, Lowassa alitangaza kutokukubaliana na matokeo hayo lakini alikazia kwa kusema HATOHAMASISHA WATU KUINGIA BARABARANI JAPO JOTO LA WAFUASI WETU LIPO JUU kwakuwa kutahatarisha zaidi amani na pía kusiwe ni soluhisho sahihi bali wataenda kwenye mamlaka husika kutafuta haki yao. (hapa aliangalia maslahi mapana ya nchi ambayo ni AMANI)

Imefika hatua sasa mpaka kila thread mnafurahia kusikia vifo vya viongozi

Punguzeni kiwango cha upuuzi, uchawi, ujinga na chuki.

FICHENI UPUMBAVU WENU
We Mpumbavu kweli sasa kama wewe usingekuwa na chuki mngempiga lisu risasi au kumtia jusa ulemavu. Au zile Risasi ndiyo upendo?. Mafuvu yaliopooza kama lako yana shida sana
 
Kuna siku nitalizubgumzia hili. Kuna wapinzani wa kweli tuliowaamini tukiamini wanaweza kupima mambo kwa weledi. Hata legends wa hapa JF tuliowaheshimu wamekuwa wepesi sana. Wamechukuwa upinzani kuwa in chama Fulani na wamejifunika shuka hawataki kuyaona yaliyo nje.

Nadhani wana chuki na watu Fulani au eneo.

Tuweke hakiba ya maneno siasa ni sayansi. Vumilieni wanamageuzi wenzetu. Wakati mwengine kubalini kukosa safari ya mapambano iendelee.

Nadhani ninao wakusudia wananielewa.

Tuko pamoja.

Cc. Erithrocytes
Mungu atawalipeni kwa mlicho mtendea Ismail Jussa
 
Huenda Zitto alikula hela ndefu pale, Isingewezekana Zitto aweke career yake ya kisiasa rehani bila kupenyezewa rupia ndefu, la Sasa angeishije, kazi hana na ana familia?. Kuna uwezekano mkubwa aliuza mechi yule kijana maana misimamo yake mara tu uchafuzi ule ulivyofanyika na kisha mwezi mmoja baadae ni misimamo miwili tofauti.

Hata Hivyo Maalim naye alikuwa Tamaa mbele mauti nyuma. Alisaliti aspiration za Wazanzibar kwa kukubali kuingia kwenye serikali iliyowekwa madarakani na Tanganyika, Kwa kufanya hivyo amefubaza ari na nia ya Wazanzibar kujikwamua kutoka kwente ukoloni huu!
Hapana hapa mnamuonea Zitto , akubali akatae ACT upande wa zenji inamsikiliza zaidi maamuzi ya Maalim/Duni na sio upande wa Bara.

Kingine zitto aliwahi disclose assets zenye thamani zaidi ya 3 billion.... Hawezi kulala njaa kisa pesa ya ubunge. Afterall ni msomi wa ngazi ya PhD hawezi kosa consultancy opportunities au nafasi hta world bank huko kma part time.

Kiufupi wanasiasa wengi wanajiweza kiuchumi ila wanachotaka ni POWER na INFLUENCE. So hta Zitto anaweza kuwa hajapata hta senti 5 ila alichoangalia ni ACT kupata ushawishi na kuwa mbadala wa CHADEMA long-term.

Hta mmi siwaungi mkono maridhiano ila nadhani walihitaji breathing space kwa udogo wao otherwise wangepoteana kabisa.
 
Hapana hapa mnamuonea Zitto , akubali akatae ACT upande wa zenji inamsikiliza zaidi maamuzi ya Maalim/Duni na sio upande wa Bara.

Kingine zitto aliwahi disclose assets zenye thamani zaidi ya 3 billion.... Hawezi kulala njaa kisa pesa ya ubunge. Afterall ni msomi wa ngazi ya PhD hawezi kosa consultancy opportunities au nafasi hta world bank huko kma part time.

Kiufupi wanasiasa wengi wanajiweza kiuchumi ila wanachotaka ni POWER na INFLUENCE. So hta Zitto anaweza kuwa hajapata hta senti 5 ila alichoangalia ni ACT kupata ushawishi na kuwa mbadala wa CHADEMA long-term.

Hta mmi siwaungi mkono maridhiano ila nadhani walihitaji breathing space kwa udogo wao otherwise wangepoteana kabisa.
Phd katunukiwa lini na wapi?
 
Wanaomlaumu Seif Sharif ni watanganyika walioshindwa japo kuandama na hawajui wanataka nini

Wazanzibar wanajua wanachokitaka siasa zao ziko mbele kuwaliko watanganyika sasa mmebaki kutafuta wa kumtupia lawama nyie keyboard warriors

Wenzetu siasa ni maisha sisi kwetu siasa ni Ajira
 
Phd katunukiwa lini na wapi?
Mkuu PhD alianza nadhani 2015 kma sikosei..... Pengine anafanya by Dissertation tu so hapo inahitajika papers za kutosha kabla hujagraduate. Minimum ni miaka 5 so ni suala la muda tu but content wise ni PhD candidate yule.
 
Back
Top Bottom