That's it 👊👊Ameweka kadi aina sita .akasema chagua moja .Kisha kakarudisha zote mpya na kuweka gape moja akijidai uloiona haipo .kimsingi zote za kwanza hazipo karudisha zingine zote mpya .hakuna sayansi ni ulaghai
😝Ameweka kadi aina sita .akasema chagua moja .Kisha kakarudisha zote mpya na kuweka gape moja akijidai uloiona haipo .kimsingi zote za kwanza hazipo karudisha zingine zote mpya .hakuna sayansi ni ulaghai
Ndio maana mnaotapeliwa hamuwezi kuisha, maana hampendi kutuliza akili.Hii video ya ajabu nimeiona leo kwenye mtandao wa kijamii wa tik tok yani imekuja yenyewe embu tazama mwenyewe kisha jiulize inawezekanaje au ni huu ni Uchawi nini ndugu zangu
Angalia tena Mkuu mim mwenyewe mpaka sasa sijaelewa hiyo trickyAmeweka kadi aina sita .akasema chagua moja .Kisha kakarudisha zote mpya na kuweka gape moja akijidai uloiona haipo .kimsingi zote za kwanza hazipo karudisha zingine zote mpya .hakuna sayansi ni ulaghai
Wewe ndio unapaswa kutuliza kichwa, alaf angalia tena.Angalia tena Mkuu mim mwenyewe mpaka sasa sijaelewa hiyo tricky
Kwanini nikichagua namba ya karata inapotea nyingine zinabaki?Wewe ndio unapaswa kutuliza kichwa, alaf angalia tena.
Labda kwa kukusaidia, video ikianza kuplay, pause kidogo Kisha nakili pembeni karata zote zilizopo. Play tena, akishaondoa karata moja, pause tena, angalia karata zilizobaki alafu linganisha na ulizonakili mara ya kwanza.
Embu chagua zote kama zitabakiKwanini nikichagua namba ya karata inapotea nyingine zinabaki?
Tatizo akili yako imeshachotwa, unalazimisha kuamini kitu ambacho hakipo.Kwanini nikichagua namba ya karata inapotea nyingine zinabaki?
Hakuna Cha tricky,Angalia tena Mkuu mim mwenyewe mpaka sasa sijaelewa hiyo tricky
Pia hamnaIngawa sijaona lakini nahisi ni optical illusion, right?