Tazama “timeline” yangu ya kusafiri hapa

Tazama “timeline” yangu ya kusafiri hapa

Inaitwa Thanda island resort..lakini ile kwenda lazima uwe umeshabook tayari ..ipo kisiwani cha peke yake....ila bado kuna hotel nUri kama mafia island lodge,kivulini lodge...utalii wa mafia ni kuangalia papa nyangumi wanaokuja zaa na talii za ufukweni


Hahaa unadhan nilitaka nikalale hyo hotel?nop..nilitaka kuijua zaidi tu...asante sana kunipa mwanga...August lazima njende jaman
 
ni plans kila baada ya miezi mitatu nisafiri nikishindwa basi angalau mi5 ..nataka iwe sehemu ya maisha yangu..so far angalau sijafeli nimeruka moro mwezi huu mwanzoni
 
Saadan hyo n kwa masaaa mangapi??? Je vyakula sio bei ukiwa humo ?? Bei yake ina range ngapi??

Daah ila Kilimanjaro bei sana
Kwa mtu wa ndani haizidi elfu 10 kwa saadan na hotel zipo za kitalii.....mimi hua naenda kwa zile organized group travel compny inkua unalipia kati ya elfu 50 hadi laki na nusu inategemea na mda....mlima kilimanjaro kupanda na kushuka kwa siku saba si chini ya laki 8 mkiwa wengi ndo gharama inashuka...kuna thread humu ya ktu alikua anaorganize kupanda mwezi wa tisa nadhan
 
Inategemea kwa saadan unaenda asubuh unarudi jioni......tunapanga kupanda mlima kilimanjaro mwezi wa 12 tunahitaji watu 2 zaidi kwa laki nne marangu route ada laki 4 anayependelea anicheki dm
Saadan hyo n kwa masaaa mangapi??? Je vyakula sio bei ukiwa humo ?? Bei yake ina range ngapi??

Daah ila Kilimanjaro bei sana
 
Back
Top Bottom