Tazama “timeline” yangu ya kusafiri hapa

Tazama “timeline” yangu ya kusafiri hapa

Sidhani kama ndege itakuwa ina tatizo kwangu hata kama itakuwa ni umbali wa kiasi hiko kama Tz-Australia
Ukiwa katika ndege hufeel mabadiliko ya hali ya hewa wala hakuna purukushani kama zilozopo katika mabus

Kilichokuwa kinanifanya niumwe nafikiri ni zile purukushani za bus na hali ya hewa ya huko njiani
waliosafiri kwa ndege wanadai kuna kitu kinaitwa "airsickness". so hata usafiri wa ndege una karaha zake.
 
waliosafiri kwa ndege wanadai kuna kitu kinaitwa "airsickness". so hata usafiri wa ndege una karaha zake.

Mie sijakutana nazo hizo changamoto za airsickness

Usafiri wa bus ndio umebaki kuwa changamoto sana kwangu
 
Kusafiri kuna raha yake tena masafa marefu sichokagi unless bus/gari liwe na shida nyingine.....nahakikishaga nasoma vibao vingi niwezavyo barabarani
 
watu wa ughaibuni waliwahi kusema "travel is a form of learning", na wahenga wetu wa kiswahili wakasema mtembea bure sio sawa na mkaa bure.
napenda sana kusafiri, iwe kikazi au kwa matembezi ya mapumziko(vacation).
hali hii imetokana na natura ya kazi yangu ambayo hunifanya niwe nasafiri mara kwa mara ndani na nje ya mipaka ya tanzania.
kijografia tanzania ni kubwa sana,huwa nasikia furaha sana ninapotembelea maeneo mbalimbali ya nchi hii kubwa hapa africa mashariki.
je? wewe kwa mwezi unasafiri mara ngapi katika maeneo tofauti hapa tanzania?.
share location za mikoa uliyotembelea ndani mwezi mmoja. hata kama ulisafiri mwaka jana, wewe share tu kwa kuweka screenshot.
hii ni mikoa niliyotembelea ndani ya mwezi april pekee.
View attachment 1095161View attachment 1095162View attachment 1095164View attachment 1095165View attachment 1095166
Hongera sana.
 
Sidhani kama ndege itakuwa ina tatizo kwangu hata kama itakuwa ni umbali wa kiasi hiko kama Tz-Australia
Ukiwa katika ndege hufeel mabadiliko ya hali ya hewa wala hakuna purukushani kama zilozopo katika mabus

Kilichokuwa kinanifanya niumwe nafikiri ni zile purukushani za bus na hali ya hewa ya huko njiani
Eh eh mara nyengine kuna kua na rabsha huko juu watu 2anatafutana especially hali ya hewa isipokua nzuri
 
Me nilijua ruti za nje ya nchi kumbe hapa bongo nshamaliza mikoa yote

nje ya nchi nishavuruga sana.
ila hata hapa nyumbani ni pazuri maana charity begins at home.

halafu tz ni kubwa sana na ina maeneo mengi ya kuvutia kuzidi hata huko nje ya nchi.
mkoa pekee ambao sijafika ni kigoma.

mwaka huu nimeweka nia ya kutembelea wilaya kadhaa.
 
Mi najitahidi kila baada ya miezi mi3 kutembelea kivutio kimoja cha utalii..nshaenda magoroto,mlima kilimanjaro kupanda,arusha park,bagamoyo,saadan,pangani,kilwa,mafia,mikumi.napanga kwenda ruaha na selous



best Kilwa na masoko wapi pazuri kusafiri?
 
Kuna kilwa kivinje,masoko na kisiwani....kivinje ndo mji wa zamani,masoko ndo kuna shughuli nyingi za kibiashara na hoteli..pia ndo njia ya kwenda kilwa kisiwan kulipokua na magofu ya kale..so unaweza fikia masoko then ukatembelea hizo swhem nyengine maana sio umbali mrefu sanaa
best Kilwa na masoko wapi pazuri kusafiri?
 
Kusafiri kuna raha yake tena masafa marefu sichokagi unless bus/gari liwe na shida nyingine.....nahakikishaga nasoma vibao vingi niwezavyo barabarani
hapo kwenye kusoma majina ya vibao hata mimi huwa napapenda sana.

moja ya kibao kinachonivutia ni hiki kinachopatikana mkoa wa kagera kilomita kadhaa kabla ya kuingia bukoba mjini ukitokea muleba.
Screenshot_2019-05-12-16-38-48-074_com.instagram.android.jpeg


NB: anayeonakana ktk picha na hiyo mashine iliyopaki pembeni havihusiani na mimi.
 
Mi najitahidi kila baada ya miezi mi3 kutembelea kivutio kimoja cha utalii..nshaenda magoroto,mlima kilimanjaro kupanda,arusha park,bagamoyo,saadan,pangani,kilwa,mafia,mikumi.napanga kwenda ruaha na selous
Saadani bei gan unalipia kutaliii?
Na kupanda mlims bei gan unalipia
 
Kuna kilwa kivinje,masoko na kisiwani....kivinje ndo mji wa zamani,masoko ndo kuna shughuli nyingi za kibiashara na hoteli..pia ndo njia ya kwenda kilwa kisiwan kulipokua na magofu ya kale..so unaweza fikia masoko then ukatembelea hizo swhem nyengine maana sio umbali mrefu sanaa
dah!!.... kilwa ni sehemu ambayo sijawahi fika.ipo kwenye orodha yangu ya maeneo ambayo lazima niyatembelee mwaka huu.
 
Kwa mtu wa ndani haizidi elfu 10 kwa saadan na hotel zipo za kitalii.....mimi hua naenda kwa zile organized group travel compny inkua unalipia kati ya elfu 50 hadi laki na nusu inategemea na mda....mlima kilimanjaro kupanda na kushuka kwa siku saba si chini ya laki 8 mkiwa wengi ndo gharama inashuka...kuna thread humu ya ktu alikua anaorganize kupanda mwezi wa tisa nadhan
Saadani bei gan unalipia kutaliii?
Na kupanda mlims bei gan unalipia
 
Back
Top Bottom