Ukipata hali kama hio osha uso wako na maji ya vuguvugu halafu weka peppermint kidogo kwenye pua utakuwa fresh tu. Na hii hali itakuomdokaMie safari ndefu hazinipendi
Huwa napata headache kali mixer kichefuchefu...huwa nafika mwisho wa safari mgonjwa
hapo kwenye kusoma majina ya vibao hata mimi huwa napapenda sana.
moja ya kibao kinachonivutia ni hiki kinachopatikana mkoa wa kagera kilomita kadhaa kabla ya kuingia bukoba mjini ukitokea muleba.
View attachment 1095253
NB: anayeonakana ktk picha na hiyo mashine iliyopaki pembeni havihusiani na mimi.
Sipendi kusafiri hata kidogo,tena kwa bus halafu safari iwe ya masaa mengi
sisi wengine kwa zile domestic trip tunapenda kutumia usafiri wa barabaraBinamu huna tofauti nami, yaani kukaa kwa gari zaidi ya masaa 2 ni dar-moro tu
sisi wengine kwa zile domestic trip tunapenda kutumia usafiri wa barabara
ili tupate wasaa wa ku explore madhari nzuri pembezoni mwa barabara kwa ukaribu zaidi.
sasa usafiri wa ndege japo ni time saving hauwezi ukakupa hiyo fursa kutokana na umbali wa anga na ardhi.
usafiri mzuri wa barabara ni ule wa private car. public busses ni tiresome sana maana wale jamaa wanafata timetable ya sumatra,hawaruhisiwi kuzidi speed limit ya sumatra japo sometimes huwa wana force.Sipendi kusafiri hata kidogo,tena kwa bus halafu safari iwe ya masaa mengi
kwanini kimyakimya feysher? [emoji848][emoji848]
Ndio[emoji848]ushafika magoloto?
Kigonsela?Ndio[emoji848]
ukianza matembezi nishtue tuanze wotenje ya nchi nishavuruga sana.
ila hata hapa nyumbani ni pazuri maana charity begins at home.
halafu tz ni kubwa sana na ina maeneo mengi ya kuvutia kuzidi hata huko nje ya nchi.
mkoa pekee ambao sijafika ni kigoma.
mwaka huu nimeweka nia ya kutembelea wilaya kadhaa.
Dyadyaa niachee[emoji23][emoji23][emoji23]majina ya kinyumbani hayo auKigonsela?
Dyadyaa niachee[emoji23][emoji23][emoji23]majina ya kinyumbani hayo au
Umesahau ukiwa humu jf we una kila kitu na umefanya vyote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji100][emoji100][emoji100]
maana ulisema Tz umevuruga kote..seriously Tz kuna visehem vitamu sana kwenda ....mie hamu yangu niende Mafia..naskia kuna hotel expensiv sijui Africa nzima?niliambia kitu km hicho..bas toka jana asbh naigugo sikumbuk jina....yaan ndo hamu yangu kwakwel...
Umesahau ukiwa humu jf we una kila kitu na umefanya vyote[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji100][emoji100][emoji100]
maana ulisema Tz umevuruga kote..seriously Tz kuna visehem vitamu sana kwenda ....mie hamu yangu niende Mafia..naskia kuna hotel expensiv sijui Africa nzima?niliambia kitu km hicho..bas toka jana asbh naigugo sikumbuk jina....yaan ndo hamu yangu kwakwel...