mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,858
- 106,100
Wenzetu nyaya wanapitisha chiniHawa wenzetu sijui watumia mfumo gani kusambaza umeme.
Mtu yupo pembezoni mwa mji lakini sioni mi nyaya ya umeme.
Eti inakuaje hapa wataalam?
Sasa sisi wabongo kila siku utaona
Huyu anachimba shimo mara kachimba
Kule basi tafrani
Ova