Tazama picha ya nyumba ya Obama

Hawa wenzetu sijui watumia mfumo gani kusambaza umeme.

Mtu yupo pembezoni mwa mji lakini sioni mi nyaya ya umeme.

Eti inakuaje hapa wataalam?
Wenzetu nyaya wanapitisha chini
Sasa sisi wabongo kila siku utaona
Huyu anachimba shimo mara kachimba
Kule basi tafrani

Ova
 
Kweli watu wanatofautiana kwa maamuzi
Jimmy Carter yeye hana makubwa kabisa na mpaka sasa anaishi kwenye nyumba yake yenye thamani ya $167,000
Yaani mtambo unaomlinda mbele ya nyumba yake una thamani zaidi ya nyumba

Maisha haya
 
Hapo Obama akitaka kuwa mvuvi, basi hana shida, daily mama Michelle anapata samachi, hehe... Mambo yetu ingekuwa, ila mie sio mstaafu! 🤣 🤣 🤣
 
Mbwa wake wa White House kwa jina 'Bo' kafariki.
RIP 'Bo'!!
InShot_20210510_161636116.jpg
 
Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.

Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.

Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.

Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.

View attachment 1779440View attachment 1779442
Tutumie basi na ya mstaafu JK ya kule Msoga tulinganishe .
 
Sheria za wenzetu haziruhusu fence. Na hasa nyumba kama hiyo ambayo haina majirani.

Mji wa Dodoma wameiga hiyo style. Isipokuwa kwa Dodoma mwisho wa fence kwa upande wa jirani yako ni mita 2 na upande wa barabara unaweka see through fence.

Kama huamini tizama movies zote za marekani uone nani kaweka fence. Sana sana upande wa jirani wameweka partions za mbao.

Hii style ni salama zaidi kuliko kuweka fence kwa sababu hata ukiwa na magari ya wizi yataonekana.

Kuna mji mmoja marakani ambapo meya ameagiza garage doors kwenye nyumba ziwe wazi mchana ili kuona nini kilicho ndani.
Wall fence huwa hakuna na zaidi labda fence fupi(kama usawa wa magoti) za mbao au maua kwa ajili ya kuonyesha mipaka, kama una wasiwasi na eneo(neighborhood) huwa kuweka CCTV cameras around the house na hata ndani.
Miukuta na mageti ya chuma(Kibongobongo) unaweza hata kuhifadhi makontena ya mizigo ya wizi au magari ya wizi sasa hiyo ya bila ukuta ina faida japo kwa Bongo mtihani.
 
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.

Fensi ni kwa africa tu ,usa/ yuropu matajiri wengi hawapigi fensi sijui kwanini.....Check MTV cribs za wasanii wana multibilionea house lakini hazina fense kabisa.
 
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.

Maalim Seif alifariki akiwa hana nyumba aliyowahi kujenga wala kununua. Yule Mzee hakua mtu wakawaida kabisa na Zaidi ukimlinganisha na wanasiasa wetu wakiafrika
 
Ukiangalia kwa mapana ni sahihi kuwafanyia havi marais wetu. hii inawasiadia kuwaondolea stress baada ya ku staafu wanakuwa watulivu wanapokuwa madarakani. unapo staafu pressure ya watoto, ndugu ni vyema serikali kuwahakikishia maisha mazuri mpaka kifo chao. bila hivyo wataiba sana ili kujindaa na ku stafu

Ingelikua tuna uchumi unaoridhisha basi pasingekua na tatizo. Tatizo linakuja hali yetu ya uchumi na umaskini ulivyo kufanya jambo kama hilo linakua ni suala la matumizi mabaya ya fedha za Umma.
 
Back
Top Bottom