Tazama picha ya nyumba ya Obama

Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.

Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.

Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.

Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.

View attachment 1779440View attachment 1779442
Dah..
Kwa hyo anakaa yy tu kwny hiko kisiwa?!
 
Jamaa bila shaka utakuwa mhaya,dunia ya Sasa bado unasumbuka na Mambo madogo madogo

Nadhani umesoma ngumbaro, nadhani ndiye nyie mnaopiga kelele za ajira! Sasa kama hata neno EKARI linaitwa HEKARI hiyo ni balaa!
 
Hakuna neno EKARI Mzee.. ni HEKARI au Hectare.

Hectare kiswahili chake ni Hekta na Acre kiswahili chake ni ekari na hivyo ni vipimo viwili tofauti. Ekari ni kipimo kimoja na Hekta ni kipimo kingine! Hiyo Hekari unaijua wewe na nafikiri watu watakuwa wanakucheka sana kwa kupiga chenga hisabati! Pole sana, rudi darasani vipimo hivyo ni hesabu za shule ya msingi.
 
Hii nyumba yake nyingine kainunua hajajengewa na Serikali anaishi hapo kisiwani (Martha vineyard) Kuna hali ya hewa Safi imezungukwa na bustani Ina vyumba 7 kila chumba na bafu lake, hekari jumla zipo 29.

Mara nyingi walikuwa wakienda majira ya summer kutembelea na mke wake kipindi bado wako white house.Hata bill na Hillary cliton nyumba Yao ipo maeneo Kama hayo tulivu.

Nyumba hii ya Obama ilijengwa 2001 na Obama aliipangisha 2019...2015 thamani yake ilikuwa $22.5m...na hapo thamani yake imepungua maana imejengwa kwa $44.5m ina garage Ina kila kitu mpk pool la kuzunguka na boat.

Mwaka 2021 Mimi ndege John nilipata nafasi ya kuitembelea nyumba hii katika mtandao.

View attachment 1779440View attachment 1779442
So lovely
 
Hectare kiswahili chake ni Hekta na Acre kiswahili chake ni ekari na hivyo ni vipimo viwili tofauti. Ekari ni kipimo kimoja na Hekta ni kipimo kingine! Hiyo Hekari unaijua wewe na nafikiri watu watakuwa wanakucheka sana kwa kupiga chenga hisabati! Pole sana, rudi darasani vipimo hivyo ni hesabu za shule ya msingi.
Majitu ya ajabu sana Haya.. Hesabu hapa ndo ilikolala..japo wala hio haihusiani na Hesabu.. ni lugha tu.

Screenshot_20210510-130301_Chrome.jpg
 
Hongera kwa kujiwekeza, kama alijenga 2001 manake alijenga kabla hajawa Rais

Maisha ya hivyo uwe umestaafu zako umejitenga maporini huko unafuga na kucheza na wajukuu. Mjini unaibuka wakati unapeleka Mzigo wa Maziwa, Matunda, Mifugo au Mayai sokoni ukiwa kwenye Toyota Pickup yako safiii
 
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Itakuwa na invisible fence kutokana na maendeleo yao ya tech!!
 
Mbona haina fence? Anyways kuna tofauti kubwa sana kati ya mwanasiasa wa Kitanzania (either CCM or Mpinzani, wote hawa wapo kwa masilahi yao binafsi kwanza kabla ya taifa) na Mmarekani.
Kwann ujumlishe ,hawa upinzani nilini wamewahi shika dola tukaona wanaendeleza kukingia vifua uchuro wawezao waliotanguliza uchuo huo

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Mi nilishangaa niliposikia, hata Jiwe na mikwara yake yote ile kumbe na yeye alikuwa anatupiga kinyemela. Yaani wote hawa hawaaminiki.
Rais anayeingia kwa kuiba kura unategemea afanyaje pale anapokuwa na dhamana ya rasilimali?
 
Back
Top Bottom