Tazama dunia ilivyo bluu, new released image

Tazama dunia ilivyo bluu, new released image

Mbona hiyo pic ya kwanza kama kuna mahi meusi kwa chini?

Upigaji wa picha ya kwanza ulikua ni wa uviziaji....Kifaakilichokua kinapiga picha kina zunguuka mwezi, halafu mwezi unaizunguka dunia....nia ya hii picha ilikua nikupata picha ya dunia inayopigwa mwanga wa jua kutoka upande wa pili wa mwezi ....kinachoonekana sio maji ...ni bonde katika mwezi ambalo lina giza

393f78c71152ff93b2534173fb7048c0b070d707.gif


2F7CAD8900000578-0-image-m-10_1450457331341.jpg
 
eeeh. juzi nilipost mada hapa kuwa anga ni ya bluu, watu wakanijia macho juu juu ooh K 4 LIFE muongo mara hujui geography, sasa jamaa kapost hii image kuwa kuna rangi ya bluu, bisheni tena hapa, halafu na wewe mleta mada mbona kama umecopy na kupest mada yangu ya juzi?
 
Asante kwa picha....ila sijaelewa tofauti ya picha inasababishwa na nini.

Je ni madariko ya tabia nchi au technologia

Jibu ni kuwa zamani hawakuwa na camera zenye resolution bora kama sasa. Muonekano wa picha za sasa ni clear zaidi ya miaka ya nyuma
 
Navyojua mimi maji hayana rangi (colourless)

Ni kweli maji hayana rangi lakini kwa wingi wake ukisimama pembeni ya bahari unayaona ni bluu, the same kwenye picha itatokea hivyo hivyo, maana hata ukiemda baharini ukichota kidogo kwenye mkono utayaona hayana rangi
 
eeeh. juzi nilipost mada hapa kuwa anga ni ya bluu, watu wakanijia macho juu juu ooh K 4 LIFE muongo mara hujui geography, sasa jamaa kapost hii image kuwa kuna rangi ya bluu, bisheni tena hapa, halafu na wewe mleta mada mbona kama umecopy na kupest mada yangu ya juzi?

hahahah Big up K 4 life.....mkuu ila mie nimeongelea picha za jana kutoka NASA wakisema dunia ni 'ultimate blue marble' naamini wewe uliongelea mawingu ya bluu....

Kuna tofauti kubwa mkuu....ni coincidence tu mkuu
 
hahahah Big up K 4 life.....mkuu ila mie nimeongelea picha za jana kutoka NASA wakisema dunia ni 'ultimate blue marble' naamini wewe uliongelea mawingu ya bluu....

Kuna tofauti kubwa mkuu....ni coincidence tu mkuu

poa mkuu nimekupata pamoja sana
 
Teknolojia za upigaji picha na usafishaji kufikia hizo images ni tofauti mkuu....hapa kuna swala la ukubwa wa kamera -megapixels, power ya telescope katika kifaa kilichochukua picha, other technologies na usafishaji katika maabara mbalimbali...

Ukitazama picha ya 1968, utaona kabisa teknolojia pale ni tofauti na sasa, ingawa usafishaji wa picha umekua improved kwa vifaa vya kisassa....

pia umbali...picha ya kwanza imepigwa ndani ya kilometa laki 4, ile ya tatu imepigwa karibu kilometa milioni 2 naa....kwahiyo hapo ni swala la power ya telescope au darubuni...

Kwa swala la mabadiliko, yawezakana ndio....kuna tofauti ya wingu zito jeupe linaloizunguka dunia kwenye picha ya 1968 ukilinganisha na hizi za karibuni....na of course nia ya hizi picha ni kujaribu ku address hiyo issue....kwa msisitizo wa mkutano ulioisha na kusainiwa makubaliano.. majuzi ..wa kulinda mazingira kwa kupunguza emission ya hewa ya carbon hewani...

Ufafanuzi wako ni sahihi. Tofauti kubwa ya hizo picha (ya 1968 na ya sasa) pamoja na uwezo wa kamera zilizotumika, ni uhalisia wa uchafuzi wa hewa toka muda huo hadi sasa. Blue ni kuashiria uwepo na uongezeko wa maji katika sayari yetu Dunia, kutoka na mabadiliko ya Tabia Nchi. Pia upungufu wa wingu kwa sasa pia ni uthibitisho wa uchafuzi wa hewa kutokana na shughuli zetu binadamu kwenye Sayari yetu Dunia.
 
Asilimia sabini Na tano dunia ni Maji Na asilimia Sabin ya Maji ni bahari Na bahari ni ya kijani

Ubluee unatoka wp tena

hahahah umenchekesha sana mkuu, bahari ni yakijani!!!!!!! emb acha utan bnah, upo wap kwanza tuje tuone maj yakijan mkuu, bahari huwa ina reflct ule u blue wa anga ndomana maji huonekana ya blue, sas hilo anga lakijani nataman sana nilione.
chamsingi kweny v2 kama hivi unatia unaeleweshwa taratiiibu ila ukileta ujuaji matokeo yake ndo haya kutuambia bahari yakijani.
 
Maji yana rangi????? Si bure we fisi yakupasa urudi tena shule!

Kweli mm ni fisii kunatofautii .....Hivii ukienda baharinii yale majiii yana rangiii ganiii...ukiangalia majiii kiujumlaa...au hujawahiii ona bahariii
 
Ufafanuzi wako ni sahihi. Tofauti kubwa ya hizo picha (ya 1968 na ya sasa) pamoja na uwezo wa kamera zilizotumika, ni uhalisia wa uchafuzi wa hewa toka muda huo hadi sasa. Blue ni kuashiria uwepo na uongezeko wa maji katika sayari yetu Dunia, kutoka na mabadiliko ya Tabia Nchi. Pia upungufu wa wingu kwa sasa pia ni uthibitisho wa uchafuzi wa hewa kutokana na shughuli zetu binadamu kwenye Sayari yetu Dunia.

big up sana mkuu
 
Kweli mm ni fisii kunatofautii .....Hivii ukienda baharinii yale majiii yana rangiii ganiii...ukiangalia majiii kiujumlaa...au hujawahiii ona bahariii

unaeza ukawa unabishana na m2 yupo nkuhungu huko vjijini na palivo pakame!!! nadhan utakua umenielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom