Tazama dunia ilivyo bluu, new released image

Tazama dunia ilivyo bluu, new released image

Am not suprised. Sehemu kubwa ya dunia ni bahari na maji ya bahari yanatambulika kwa u blue wake so hakuna la kushangaza.
 
Mungu wa ajabu! eti maji yamezunguka dunia na dunia inaelea angani
 
Inaashiria nini Dunia kuzidi kuwa Brue zaid au Kupungua Ubluu
 
Huu u blue unatokana na kitu kinachoitwa scattering ya radiation zitokazo kwenye jua remote sensing inahusika
 
najaribu kufikiria hizo camera zilizochkua picha umbali wa maili milion 1 zina megapixel kias gan? binadamu ana uwezo wa ajabu sana
 
Kila muda nikiangalia these images I can't stop wondering how small we are, yaani kwenye level hiyo ukilinganisha na scale yetu ya kawaida hata sisimizi mkubwa. We are so tiny and that makes us very vulnerable, yaani any big object kikipotea njia kinaweza kutu-crush, the entire human race can disappear within a flash.

The good thing we are smart, tunaweza trace any object ambayo inaweza kua dangerous from million of miles away na kama path yake inalead to earth then we can look for measures hata kutuma nuclear bombs kuhakikisha tunakigawanya kupata pieces ambazo zinaweza vutwa into other object's gravity na tukabaki na small pieces ambazo zinaweza kua burnt down before reaching on the surface. Our only problem would be to face a different race that's smart or smarter compared to us au phenomena kama death of a star n black holes, those ones we can't escape.
 
Kila muda nikiangalia these images I can't stop wondering how small we are, yaani kwenye level hiyo ukilinganisha na scale yetu ya kawaida hata sisimizi mkubwa. We are so tiny and that makes us very vulnerable, yaani any big object kikipotea njia kinaweza kutu-crush, the entire human race can disappear within a flash.

The good thing we are smart, tunaweza trace any object ambayo inaweza kua dangerous from million of miles away na kama path yake inalead to earth then we can look for measures hata kutuma nuclear bombs kuhakikisha tunakigawanya kupata pieces ambazo zinaweza vutwa into other object's gravity na tukabaki na small pieces ambazo zinaweza kua burnt down before reaching on the surface. Our only problem would be to face a different race that's smart or smarter compared to us au phenomena kama death of a star n black holes, those ones we can't escape.

Best take mkuu, hauko peke yako kwenye hili hofu.....

Image ya tatu imepigwa na chombo kinaitwa DSCOVR...nahizi ndio facts za hiki chombo:

DSCOVR (pronounced discover) is designed to provide advance warnings of solar outbursts that could disrupt life here on Earth.
DSCOVR was launched in February and spent nearly four months traveling one million miles, four times farther than the moon, to the so-called Lagrange point, a gravity-neutral position in direct line with the sun.
At this lookout location, 92 million miles from the sun, it is now providing advance warnings of incoming geomagnetic storms that could disrupt power and communications on Earth, beginning around midsummer.
The steady stream of Earth pictures, meanwhile, is expected to be high on the 'wow' factor. The initial Earth images show the effects of sunlight scattered by air molecules, giving the images a characteristic bluish tint.
The Epic team is working on a rendering of these images that emphasises land features and removes this atmospheric effect. Once the instrument begins gathering data, new images will be available every day.

Na hili tishio ni kwenye solar system yetu, kuna tishio lingine kwamba a neighbouring galaxy inatusogelea .....sasa hilo vumbi la black holes ndogo ndogo na hizo mbili kubwa...mwingiliano wa majua mbali mbalina sayari zake ...sijui itakuaje

Ingawa bado wanajipa moyo kwamba universe ina expand, kwa hiyo galaxies lazima move to follow expansion thus away from our milk way galaxy....

 
Kila muda nikiangalia these images I can't stop wondering how small we are, yaani kwenye level hiyo ukilinganisha na scale yetu ya kawaida hata sisimizi mkubwa. We are so tiny and that makes us very vulnerable, yaani any big object kikipotea njia kinaweza kutu-crush, the entire human race can disappear within a flash.

The good thing we are smart, tunaweza trace any object ambayo inaweza kua dangerous from million of miles away na kama path yake inalead to earth then we can look for measures hata kutuma nuclear bombs kuhakikisha tunakigawanya kupata pieces ambazo zinaweza vutwa into other object's gravity na tukabaki na small pieces ambazo zinaweza kua burnt down before reaching on the surface. Our only problem would be to face a different race that's smart or smarter compared to us au phenomena kama death of a star n black holes, those ones we can't escape.

Hiyo camera ikiwa kwenye simu vp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom