Tazama birthday za vijana wa sasa

Tazama birthday za vijana wa sasa

wauswaz

Member
Joined
Feb 18, 2018
Posts
69
Reaction score
59
201135d3c491b51054b20b290ace9a3f.jpg
 
Mimi nawashangaa sana watu wanaoponda hapo..
Yan mtu birthday ni yake , cake ni yake sherehe kaandaa yeye.. maji wamechota rafiki zake

Halafu jitu linakuja kutoka povu kama vile lilimzaa lenyewe au hela ya party anatoa yeye..
Hivi lini watu mtapambana na hali zenu muache kufwatilia mambo yasiyowahusu.

Kwani hizo birthday party ndo zinazuia uchumi wa viwanda??
 
Iko hivi, mimi ukinimwagia maji machafu zamu yako ikifika nitakumwagia pia.
 
Dar kuna ishu za ajabu. nwingine eti anataka kumipiga na mayai viza mwenzake. na yanayomwagiwa huwa yanashangilia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom