Hata MimiKumbe huyo ni mtu! nilidhani mti!
Mazingira yao yenyewe yanaonyesha jinsi akili zao zilivyo, ni kuchafu
Hahaha hahaha mkuu hio avatar umeitoa wapiDar kuna ishu za ajabu. nwingine eti anataka kumipiga na mayai viza mwenzake. na yanayomwagiwa huwa yanashangilia!!
Unaona wanachofanya hao ni kitu ambacho kijana mwerevu na msomi anapaswa afanye? Ulipokuwa unaanza kujifunza kusoma na mwalimu angesema hasumbuki kila mwanafunzi apambane na hali yake ungejua kusoma? Au na wewe ni mteja wa kumwagiwa maji machafu?Mimi nawashangaa sana watu wanaoponda hapo..
Yan mtu birthday ni yake , cake ni yake sherehe kaandaa yeye.. maji wamechota rafiki zake
Halafu jitu linakuja kutoka povu kama vile lilimzaa lenyewe au hela ya party anatoa yeye..
Hivi lini watu mtapambana na hali zenu muache kufwatilia mambo yasiyowahusu.
Kwani hizo birthday party ndo zinazuia uchumi wa viwanda??
Michezo yao huanzia mbali sana wengi vidudu vyao havina misuliUnaona wanachofanya hao ni kitu ambacho kijana mwerevu na msomi anapaswa afanye? Ulipokuwa unaanza kujifunza kusoma na mwalimu angesema hasumbuki kila mwanafunzi apambane na hali yake ungejua kusoma? Au na wewe ni mteja wa kumwagiwa maji machafu?
Cc: The listNingeomba the list apite hapa atie neno
rubbish...empty setNingeomba the list apite hapa atie neno
Kila zama