mimi nafikiri ifike mahari police watuheshimu wananchi,mkikamata police mfanyeni kama yule wa burundi
wewe upo wapi?
mimi nafikiri ifike mahari police watuheshimu wananchi,mkikamata police mfanyeni kama yule wa burundi
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
Mimi nafikiri ifike mahari police watuheshimu wananchi,mkikamata police mfanyeni kama yule wa Burundi
Raia na Maskari wametapaka eneo zima la hospitali kuna sintofahamu hapa
Hivi hii nchi bila mabomu hakuna muafaka?
Hukumsikia mbunge wa Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi akichangia bungeni!?Hivi hii nchi bila mabomu hakuna muafaka?
Hivi hii nchi bila mabomu hakuna muafaka?
samahani mkuu, burundi walimfanyaje huyo polisi?
Police wapigeni hao wazunja sheria
wewe uko wapi?ili kupata haki na kuheshimika, raia washughulikien hao poli wanaporudi uraian kutoka kazin, kwanini watuuwe wakati wanavunja katiba ya nchi.
ona sasa unachoandika!
Kwenye hizo picha sioni dalili zozote za mabomu. Hao wahuni waliosimama hapo kama wangeweza kutii sheria bila ya shuruti hakika kusingekuwa na madharamoshi hauchagui ila wao wangeweza kuchagua njia mbadala kwa kuzingatia uwepo wa hiyo hospital...wangeweza kuwamwagia maji kuwapiga ngumu au kuwakimbiza kwa mbwa!