Tayari mabomu yanarindima hapa Njombe muda huu

Tayari mabomu yanarindima hapa Njombe muda huu

poleni sana wana njombe huu uvumilivu una mwisho wake.
 
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba

Umetumwa na Nchimbi wewe, CCM wanahasira ya kukosa mitaa yote Njombe. Nilikuwa pale Iringa polisi mmoja mmjinga alikuwa anajisifia tunaenda kwenye uchaguzi ataongezewa mshahara, Dawa ya polsi inapikwa wamesahau kilichomkuta mkuu wa kituo cha polsi Ilula na wale wa karagwe mwaka jana
 
Hivi hii nchi bila mabomu hakuna muafaka?


chakii;
Muafaka na nani? Weye uliye mbele yake unatakiwa tu kutii sharya bila shuruti. Huo si mwafaka, ni nidhamu ya woga. Fikiria tu huyo mkuu aliyetoa ruksa kupiga mabomu ya machozi hospitalini. Kwani wangeondoa hao policcm watu wangefanya nini?
Naamini, mikasa mingi huanzishwa na Polisi wetu kuliko hata hao wanao waona kuwa wahalifu. Poleni wagonjwa, poleni wamama waja wazito mliokimbia na tumbo zenu, poleni wauguzi mlio ingiliwa eneo lenu la kazi. Poleni nyote kwa mateso mloletewa bila kupenda. HUU NI UBAKAJI WA HAKI ZA BINADAMU. Icc wataenda wengi uhuru utakapo patikana
 
Yaani binti mdogo kama Rose Mayemba anaweza kulihenyesha jeshi zima la Polisi Njombe? Acha ujinga gamba.

Bora umenisaidia kamanda...ccm na polisi wao wamekosa hoja wanatapatapa tu.kazi inakuja October watajua wananchi qana hasira kiasi gani
 
kama kibinti ROSE kinasumbua jeshi la polisi njombe nzima sijui wakija al-shabab itakuwaje.............au ni filamu kama ya magaidi wa amboni TANGA
 
Back
Top Bottom