mpigwe tu mnavunja sheria za nchi
Hapo sawa umeandika vizuri. Vilevile usiwe unaacha kumwomba Mungu asubuhi, mchana na usiku.
mpigwe tu mnavunja sheria za nchi
inapofikia hata DC wa mtandaoni anakuwa fyetu unakuwa huelewi wait and see after 25th OctoberPoleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
Njombe mitaa gani? Mabomu yanapigwa?
Wanafanya mazoez ya 25 october maana nchi itacharuka pale ccm watakapo goma kutoka magogoni.
Na wanaleta mengine 700
Police wapigeni hao wazunja sheria
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
siku mabwana zako watakpoacha kukutupia makombo sakafuni utakuja hapa na kuanza kulialia,tutakochafanya sisi ni kukutia masingi ya bichwa,..kamuulize ze macopolo yaliyomkuta kituo cha polisi nakuja humu na kuanza kuilaani ccm,bogus wewe..Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
Twendelee kutoa ushilikiano wa dhati kwa watu wanao vunja vituo vya police na kuuwa police na kutokomea na siraha au? Yupi kati yao na police anayesaidia wananchi?
Hivi CHADEMA mmeshindwa kabisa namna ya kuendesha siasa zenu bila fujo na kushindana na vyombo vya ulinzi na usalama?