Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 828
Watu wakisema kuwa Serikali Dhaifu na Legelege mnakataa hadi mishipa ya shingo inasimama.
Kwa nini jeshi la polisi wasimpige mabomu au kumkamata Polisi aliyeua???
Je kama Raia angemuua Askari Polisi, hapo polisi wasingechukua hatua na kumkamata muuaji au wangemuangalia na kumlinda tu???
Ndugu yangu Lizaboni, wakati mwingine tuweke pembeni ushabiki, tuongee katika uhalisia na pia tuonyeshe kama tumejali na kuwahurumia waliiokumbwa na maafa.
wenzenu moro ckuizi uvumilivu umewashinda police akialibu laiya wanaingilia wanatandika kisawasawa mwezi uliopita katandikwa police wa bodaboda hadi leo bado hajaludishwa toka muimbili na lazima ataludi na utaila wamegonga sana kichwa sasaivi watunaendesha pikipiki kwa raha kabisa moro wameshaipata adabu.
kabla sijakudharau milele ningeomba kufahamu kiwango chako cha elimu , maana kumdharau mbumbumbu ni dhambi .
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
wewe upo wapi?
mkuu achana nahuyo kichaa hana hipya
mpigwe tu mnavunja sheria za nchi
Hivi hii nchi bila mabomu hakuna muafaka?
Hivi hii nchi bila maandamano hakuna muafaka..!?
Ka bahati mbaya sana moshi hauchagui mahala pa kwenda. Mabomu ya machozi ni moja ya silaha zinazotumiwa na jeshi la polisi
We sijui muarusha wa wapi wewe!!?
Yaani binti mdogo kama Rose Mayemba anaweza kulihenyesha jeshi zima la Polisi Njombe? Acha ujinga gamba.Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
Muda huu polisi wametanda mji mzima wa njombe.pia kwa BAHATI mbays nimepata taarifa kuwa natafutwa.ila siogopi Mungu ninayemwamini atanipigania
Mkimkamata askari mmoja mfanyeni kama yule wa Burundi juzi....
polis wanatekeleza amri ya pinda ya wapigwe tu. mgombea urais yeyote lazima awahaidi watanzania namna ya kuondoa mauaji haya ya polis dhidu ya raia wasio na hatia.