Tayari mabomu yanarindima hapa Njombe muda huu

Tayari mabomu yanarindima hapa Njombe muda huu

Twendelee kutoa ushilikiano wa dhati kwa watu wanao vunja vituo vya police na kuuwa police na kutokomea na siraha au? Yupi kati yao na police anayesaidia wananchi?

Anayevamia na kuua hawa wadudu anamchango mkubwa mno kwa wananchi kuliko huyu muua wazurulaji.
 
hawa polisi ccm wapewe mafunzo upya katika kozi zao waelimishe jinsi ya kutatua migogoro ,wasiwe chanzo cha vurugu ,wanaombwe am nakisi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku ya ulinzi na usalama wa mali na utu wa binadamu.bado wanamafunzo ya kikoloni katika kukabiliana na wananchi wanaohitaji kusikilizwa na kutatua kero zao.
 
Niliwapenda sana polisi wa Burundi,hawa wa Bongo ni shida wamelewa kwa kuvaa magwanda maana jambo dogo wanatumia nguvu kubwa,Ningekuwa mimi siajira hawa watoto wa kidato cha nne,nachukua kuanzia angalau Diploma ili wawe na uwezo wa kufanya reasoning kwa vurugu ndogondogo.Waacheni tu wakikua wataacha wenyewe ila kwa haya wanajiweka mbali sana na wananchi.
 
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba

Watu wakisema kuwa Serikali Dhaifu na Legelege mnakataa hadi mishipa ya shingo inasimama.

Kwa nini jeshi la polisi wasimpige mabomu au kumkamata Polisi aliyeua???

Je kama Raia angemuua Askari Polisi, hapo polisi wasingechukua hatua na kumkamata muuaji au wangemuangalia na kumlinda tu???


Ndugu yangu Lizaboni, wakati mwingine tuweke pembeni ushabiki, tuongee katika uhalisia na pia tuonyeshe kama tumejali na kuwahurumia waliiokumbwa na maafa.

Hakuna anayefurahia kuona Binadamu mwenzie anakufa ingawa tunajua kuwa sote tutakufa kwani hapa Duniani tu wasafiri tatizo tunatofautiana siku na njia yakufikia kifo, lakini kifo cha uzembe kinasikitisha sana.


Lizaboni, kuwa mzalendo na punguza ukatili kwa binadamu wenzio, nao pia wana miili yenye nyama kama wewe!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana wana Njombe. Huyo Rose Mayemba ndiye mratibu wa vurugu hizo. Thanks jeshi la Polisi kwa kuwatawanya maana hali ingekuwa mbaya sana kwa wasafiri wanaotoka Songea. Ila hakikisheni mnamkamata huyu Rose Mayemba
kabla sijakudharau milele ningeomba kufahamu kiwango chako cha elimu , maana kumdharau mbumbumbu ni dhambi .
 
Npo njombe hapa,Rose Mayemba. Wa chadema ndo anasupport vurugu, polisi bado wanamtafuta,ntawaletea updates
 
Npo njombe hapa,Rose Mayemba. Wa chadema ndo anasupport vurugu, polisi bado wanamtafuta,ntawaletea updates

Ndugu acha uongo.

Kuwa mzalendo.

Anaye - support vurugu ni yule Askari muuaji. Kwani kama si yeye basi hayo yote yasingetokea.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Jamani polisi wamechukua sheria mkononi na nyie chukueni kwa kiwango kile kile
 
Pamoja na majukumu mengine muhimu baada ya kuudwa kwa Serikali mpya Mwezi October, pia kuna umuhimu mkubwa sana wa kufanya restructuring ya jeshi hili.
 
Polisi katika mkoa wa njombe waua raia 2 na kujeruhi mmoja na kusababisha maduka kufungwa na watu wakichoma matairi barabarani hivyo mabomu ya machozi kutumika kutawanya watu na baadhi ya raia kukamatwa
 
Back
Top Bottom