Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 1,577
- 2,871
Ndo utaratibu wa ndoa, uzuri habakwi anatoa anapoombwaAiseee namuonea huruma mwanamke wako duh so ni mwendo wa kumbaka tu
Ndo utaratibu wa ndoa, uzuri habakwi anatoa anapoombwaAiseee namuonea huruma mwanamke wako duh so ni mwendo wa kumbaka tu
Kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.Kati yangu na wewe nani mwenye matatizo?Nimetoa comment bila kumquote mtu mmewashawashwa mkaniquote saiv mnalia aiseeee rainbow mna kazi sana
Kumekucha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Asante sana,ubarikiwe. 🙏Attention seeker. Pole
UmeyakanyagaKumekucha .
Ndo utaratibu wa ndoa, uzuri habakwi anatoa anapoombwa
Ndo utaratibu wa ndoa, uzuri habakwi anatoa anapoombwa
🤣🤣🤣🤣🤣,huyu ndio zake,nilijua kitakachotokea kabla sijaandika comment yangu,lakini niliona anatakiwa ajue ukweli.Umeyakanyaga
Mnatupa ugumu wale tunaopinga kampeni ya kataa ndoa.
Kwa hali hii kampeni ya kataa ndoa itaendelea kuota mizizi
Binti Mwambeso umenena. Hakika wanawake walioolewa muwalinde wanaume wenu. Haya mambo ya TAWLA tuachane nao.Tuwapunguzie madhira wanaume,mwisho watakuja kufa tubaki wajane tupu.Labda sababu mimi sijasoma ndiomaana sipendi ukisasa kwenye ndoayangu.Ila naona kabisa hajawai juta kunioa,wanaume wanapenda kupendwa na kuskilizwa tuwahurumie wanapitia changamoto nyingisana katika harakati zakutupambania.
Binafsi sihitaji shoga Wala taasisi ktk ndoayangu.Nitampa kadiri anavyotaka muhimu haruki ukuta
UKIOLEWA USILALE NA CHUPI
NDIOOOOO...Kuolewa umetaka mwenyewe, kwanini ulale na chupi? hapo umenenaTuwapunguzie madhira wanaume,mwisho watakuja kufa tubaki wajane tupu.Labda sababu mimi sijasoma ndiomaana sipendi ukisasa kwenye ndoayangu.Ila naona kabisa hajawai juta kunioa, wanaume wanapenda kupendwa na kuskilizwa tuwahurumie wanapitia changamoto nyingisana katika harakati zakutupambania.
Binafsi sihitaji shoga Wala taasisi ktk ndoayangu.Nitampa kadiri anavyotaka muhimu haruki ukuta
UKIOLEWA USILALE NA CHUPI