TAWLA yapendekeza Ubakaji utambulike kuwa Kosa la Jinai kwa Wanandoa

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,390
8,155
1677151479849.png
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na Wanaharakati wa Masuala ya Kijinsia kimependekeza Marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20 ili iweze kumwajibisha Mwanandoa atakayemuingilia Mwenza wake bila ridhaa.

#TAWLA imesema pendekezo hilo linafuatia ongezeko la kesi zenye Sura tofauti za Ukatili zikiwemo zinazohusiana na malalamiko ya Wanawake kulazimishwa kufanya Tendo la Ndoa pamoja na Kuingiliwa Kinyume na Maumbile.

Hadi sasa Sheria inatamka kwamba ni Kosa la Jinai kumlazimisha Mwanamke kufanya Tendo la Ndoa Bila Idhini Yake ambapo Wanaharakati hao wameshauri Kitendo cha Mume Kumbaka Mkewe Kitajwe na kitambuliwe kama Kosa la Jinai kwenye Sheria.

==============

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

Mjadala wa mume kumbaka mkewe jana ulikuwa ni miongoni mwa hoja za wanaharakati wa masuala ya kijinsia baada ya kushauri marekebisho ya Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, sura ya 20 ili kumuwajibisha mume.

Sheria hiyo kwa sasa inatamka kwamba ni kosa la jinai kumlazimisha mwanamke kufanya tendo la ndoa bila idhini yake.

Hata hivyo, wanaharakati hao wameshauri pia kitendo cha mume kumbaka mkewe kitambuliwe kama kosa la jinai katika sheria hiyo kutokana na changamoto ya kukithiri matukio hayo kwenye ndoa.

MWANANCHI
 
Hao wanaopigania hizo haki za wanandoa nao niwanandoa?

Je wanazielewa changamoto za ndoa?
Nikitu gani kitaonesha kama mtu alibakwa au alikubali ila baada ya kutoachiwa kodi ya meza akadai amebakwa?
Hivi mke akimkuta mumewe na mchepuko anashindwa kwenda kushtaki kwamba amebakwa?

Hao wanaoshabikia watazamwe je wanazondoa? Nakama zipo je zina afya?
 
KESI YOYOTE ILE INAHITAJI SHAHIDI...HUYO MWANAMKE MPAKA IAMINIKE AMEBAKWA SHAHIDI LAZIMA AWEPO...SHAHIDI NI NANI SASA HAPO..?
 
Hivi unambaka vipi mkeo?unaishi nae nyumba moja,mnalala kitanda kimoja,Tena uchi kabisa,unaomba game, anakataa,unatumia nguvu kidogo,kitu kinaingia,unapiga viwili chapu.

Hii unawezaje kuiita ubakaji?

Hii sio Sawa na kumvamia mwanamke usie na uhusiano nae wa kimapenzi,ukampiga nao

Akisha kuwa mke,tayari ameridhia kuingiliwa kimwili legally,ridhaa yake iliishawekwa kwenye karatasi.kama hataki kuingiliwa kimwili,aombe taraka tu

Mwanamke anaeingiliwa Kwa nguvu na mmewe,hapati trauma yoyote ukilinganisha na Binti anayebakwa na mtu Baki.

Umevua nguo,ukalala nae kitanda kimoja,unasemaje amekubaka,huyo si mbakaji,huwezi kulala uchi na mbakaji,
 
Back
Top Bottom