Ndugu wapiganaji wenzangu tunapenda kuwatangazia kwamba siku si nyingi Wapambanaji wa Chadema watafungua tawi USA, kunamaswala ya Itifaki na Kiufundi yanamaliziwa alafu watawajuza.
Wanaomba maoni yetu Tafadhali.
unamaana maoni yetu yanaweza kubadilisha dhamira ya sasa ya kufungua tawi hlo? Afu hayo matawi ya nje nchi ni mbwembwe tu...mtu anaishi marekani ambako umeme haukatik, afya poa, elimu bomba, hakuna njaa. We unadhani atawakumbuka mlie afrika juani? Ni upuuz mtupu.
Bad idea kama ilivyo bad idea kwa ccm kufungua matawi nje ya nchi. Kuisupport chadema kama upo majuu sio lazima mfungue tawi.....
Ndugu wapiganaji wenzangu tunapenda kuwatangazia kwamba siku si nyingi Wapambanaji wa Chadema watafungua tawi USA, kunamaswala ya Itifaki na Kiufundi yanamaliziwa alafu watawajuza.
Wanaomba maoni yetu Tafadhali.
Bad idea kama ilivyo bad idea kwa ccm kufungua matawi nje ya nchi. Kuisupport chadema kama upo majuu sio lazima mfungue tawi.....
Titan, naomba nirudie hili maana nina uhakika nalo. Jengeni mahusiano mazuri na wanaharakati wa haki za binadamu ili matukio kama ya Tarime yanapotekea inakuwa rais kwa dunia nzima kujua ni kwa jinsi gani haki za binadamu zinakiukwa.
Kukiwa na pressure ndani, na nyie huko mkaanika kila kitu inatakuwa vigumu kwa hawa wakubwa kuendeleza ubabe. Jaribuni kuwasiliana na asasi kama Amnest International.
Msife moyo na mitazamo tofauti tunayotoa humu jamvini. Ni Idea nzuri but you need to work out the best methods za kusaidia mapambano. Network network network.
Titan, naelewa muda ni tatizo kubwa sana hasa kwa huko mliko maana waajiri wako very strict na suala la muda. Ila naomba muangalie pia namna ya kusaidia ku-improve website ya CHADEMA ili iweze kuwa chombo muhimu cha kutoa habari za matukio na mikakati/sera za chadema. Kwa sasa ina mapungufu lakini huko najua swala la technology liko sawa.
Kila la kheri.
Ndugu wapiganaji wenzangu tunapenda kuwatangazia kwamba siku si nyingi Wapambanaji wa Chadema watafungua tawi USA, kunamaswala ya Itifaki na Kiufundi yanamaliziwa alafu watawajuza.
Wanaomba maoni yetu Tafadhali.
Ushauri wa bure, chama chetu cha CDM tutumie ruzuku kuhakikisha tuna matawi ambayo yanafanya kazi kwa kuanzia majimbo ypte ya DSM, pia tuongeze nguvu mikoa ya pwani, kwa vile huko tunawatembelea wakati wa uchaguzi tu . Hili la kufungua USA ni wazo zuri ingawa KIPAUPEMBELE kiwe ni kujitanua nchini.