Nilipokuwa mdogo hadi nafikisha miaka20 nilikuwa natongozwa na wadada, yaani sikuwahi kutongoza kwa muda huo. shida imeanza nilipofikia huo umri. nilipokuwa shule ya msingi top five ya wasichana wazuri darasani walinitaka japo nilifanikiwa kuwamiliki wawili.
Hii ilitokana kuwa the most handsome boy of the school pili nilikuwa nafanya vizuri darasani maana tangu chekechea had nahitimu darasa la saba nilikuwa nashika namba moja, nilipokuwa sekondari wasichana wazuri top 10 wa shule wote walitaka kuwa nami japo sikutaka kuwa nao cause nilikuwa serious na masomo sababu zile zile japo sikushika namba moja tena.
Nilishika namba tatu hadi namaliza japo kwa kiingereza nilikuwa nakimbiza shule yote, advance kwa bahati mbaya nilisoma advance ya wavulana watupu, girls walipotutembelea na tulipowatembelea walivutwa nami pia na niliwatafuna japo wawili tu. tatizo limekuja chuo kikuu sijui muda wangu umepita.
Kila demu nayemtokea ananizungusha ahadi nyingi za uongo japo wapo wachache wanaonipenda japo sio beautful as I want, wale beautiful wananisumbua sana, wananidanganya sana ninayo mengi ila nahisi nitawachosha
ushauri jamani nawahitaji mabinti wazuri ndugu zangu.
Hii ilitokana kuwa the most handsome boy of the school pili nilikuwa nafanya vizuri darasani maana tangu chekechea had nahitimu darasa la saba nilikuwa nashika namba moja, nilipokuwa sekondari wasichana wazuri top 10 wa shule wote walitaka kuwa nami japo sikutaka kuwa nao cause nilikuwa serious na masomo sababu zile zile japo sikushika namba moja tena.
Nilishika namba tatu hadi namaliza japo kwa kiingereza nilikuwa nakimbiza shule yote, advance kwa bahati mbaya nilisoma advance ya wavulana watupu, girls walipotutembelea na tulipowatembelea walivutwa nami pia na niliwatafuna japo wawili tu. tatizo limekuja chuo kikuu sijui muda wangu umepita.
Kila demu nayemtokea ananizungusha ahadi nyingi za uongo japo wapo wachache wanaonipenda japo sio beautful as I want, wale beautiful wananisumbua sana, wananidanganya sana ninayo mengi ila nahisi nitawachosha
ushauri jamani nawahitaji mabinti wazuri ndugu zangu.