Tatizo nini mwanaume kuzaliwa hanithi

Tatizo nini mwanaume kuzaliwa hanithi

Aiee pole sana madam!! Allah atawafanyieni wepesi katika ndoa yenu na shem atapona tu!!

Sasa kipindi hicho chote umekuwa ukitumia maji ya moto au dildo?
Nikili tu mie ni mmoja wa wabovu wa kupenda kufanya mapenzi na mume wangu (only with him) yaani iwe mchana iwe asubuhi iwe jioni au hata usiku ikitukutia eneo mahususi basi mambo yanajiachia tu,na hali hii tuliyozoeshana ulikua inatupa shida sana miezi ya mwanzo lakini M/Mungu bwana si wa kushindana nae yeye anajua kumbadili yeyote katika wakati wowote tumejikuta tu tunanguvu siku zinaenda tukipiga romance zetu zile basi tunafumba macho tunalala,what is dildo kwa aliyezoea viungo halisi vya mwenziwe!! Nimekua hapa kumpa nguvu siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikili tu mie ni mmoja wa wabovu wa kupenda kufanya mapenzi na mume wangu (only with him) yaani iwe mchana iwe asubuhi iwe jioni au hata usiku ikitukutia eneo mahususi basi mambo yanajiachia tu,na hali hii tuliyozoeshana ulikua inatupa shida sana miezi ya mwanzo lakini M/Mungu bwana si wa kushindana nae yeye anajua kumbadili yeyote katika wakati wowote tumejikuta tu tunanguvu siku zinaenda tukipiga romance zetu zile basi tunafumba macho tunalala,what is dildo kwa aliyezoea viungo halisi vya mwenziwe!! Nimekua hapa kumpa nguvu siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi romance bila sex si ni kujizidishia mimyegee tu au inakuaje??

Unafika kileleni through romance? Bora kutofanya kabisa romance aisee!

Allah akutie nguvu katika kipindi hiki Kigumu madam
 
Mwanamke unaweza kukaa hata miaka mi 5 bila ya dudu lakini iwe mbali kama ulivyosema kua yuko masomoni,lakini nalala nae naamka nae (binafsi wangu alikua ni MGONJWA wa nyonga! Unakumbatiwa tu huku umebana mapaja Wallah hiyo kuivumia si kazi ndogo,maana mwili wapata misisimuoa yote kasoro ile hatua ya mwisho. Kubali kataa huo ni mtihani mgumu sana na usipomtanguliza M/Mungu unaweza jikuta unaanza kumdharau

Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana aisee!!
Kumbe kwenye ndoa hizi kuna mengi yamejificha.

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Sijakutana nae ila natafuta mwanaume hanisi wakunioa huyu ataniheshimu nitamuheshimu najua hataniumiza nitafurahia maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
bibie embu kuwa serious basi!!
Sasa www si ndio utakuwa chanzo cha maumivu kwake?
Yan ww unapenda usichitiwe lkn ww unataka kuchiti, si kuuana huko?

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Dear kama yupo nipo tayari kuwa nae nimechoka nishaumia mapenz yakupeana uroda Mimi nimeyachoka sijaona faida yoyote zaid kuumizwa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
bibiee usiumize kichwa kwenye vitu km hvyo.
Ukipata hanithi nako utakuja kulalamika huku km wenzio wanavyo lalamika kuwa hawakunwi vzr na wenza wao.

Cha msingi angalia km mwanaumwe anatimiza pati yake kwenye ndoa, haya mambo eti anachepuka achana nayo

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Usiseme wanaume tu ata wanawake mahanisi wapo wengi tu,.... Ni tatizo la kimaumbile ya hormones au matatizo ya utotoni pia miyonzi hatarishi kwa mama mjamzito inaleteleza hili...inasemekana ata uvutaji wa sigara unaweza leta hili japo halijathibitishwa kuhasilia
Wanawake mahanisi ndio Lesbian?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu Mbiti,kinachounganisha mapenzi ya mwanamke na mwanaume ni ushiriki mkamilifu wa tendo la ndoa binafsi nimelikosa kwa miezi 6 nimekua na Mawazo mpaka nimekonda sikia hivyo hivyo ndugu yangu labda kwa kua umekili kua utachepuka kitu ambacho kina toa tafsiri kamili kua hitoweza kuvumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Shem kasafiri ama vepee?? Maana na kipupwe hiki aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LadyAJ mie nnajijua !yaan mie nikipenda ukweli hata men anitongoze huwa nahis ni mwanamke simuon kunivutia !hahaha miez 6 unakonda ?hahahahahah we sio mhenga !mie nimekaaga 2yrs bila dudu mume alikuwa masomon sijawah hata kwenda sijui grocery ninywe hata wine! najua namananisha !inakera pale unapompenda mtu kumbe nyuma linakuchora tu ! huyo unamfanyia revenge safi ya kufa mtu akae sawa akuheshim ! yaan wewe ishia hapo hapo !miez 6 miduchuz !pole !sasahv utachanaaaaaa heheheh! mnara full 24/7

mie ukinikera na nikakereka huwa lazima nirevenge moyo utulie !naanza upya !lol
Mnara 24/7 weka mbali na watoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke unaweza kukaa hata miaka mi 5 bila ya dudu lakini iwe mbali kama ulivyosema kua yuko masomoni,lakini nalala nae naamka nae (binafsi wangu alikua ni MGONJWA wa nyonga! Unakumbatiwa tu huku umebana mapaja Wallah hiyo kuivumia si kazi ndogo,maana mwili wapata misisimuoa yote kasoro ile hatua ya mwisho. Kubali kataa huo ni mtihani mgumu sana na usipomtanguliza M/Mungu unaweza jikuta unaanza kumdharau

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh maskini pole kipenzi! Dah hapo ni mtihani maana hata akienda uvinza bado haisaidii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom