Tatizo nini mwanaume kuzaliwa hanithi

Tatizo nini mwanaume kuzaliwa hanithi

Mwanamke unaweza kukaa hata miaka mi 5 bila ya dudu lakini iwe mbali kama ulivyosema kua yuko masomoni,lakini nalala nae naamka nae (binafsi wangu alikua ni MGONJWA wa nyonga! Unakumbatiwa tu huku umebana mapaja Wallah hiyo kuivumia si kazi ndogo,maana mwili wapata misisimuoa yote kasoro ile hatua ya mwisho. Kubali kataa huo ni mtihani mgumu sana na usipomtanguliza M/Mungu unaweza jikuta unaanza kumdharau

Sent using Jamii Forums mobile app


i can feel u ! ngj niishie hapa !
 
Acha kudanganya watu Mbiti,kinachounganisha mapenzi ya mwanamke na mwanaume ni ushiriki mkamilifu wa tendo la ndoa binafsi nimelikosa kwa miezi 6 nimekua na Mawazo mpaka nimekonda sikia hivyo hivyo ndugu yangu labda kwa kua umekili kua utachepuka kitu ambacho kina toa tafsiri kamili kua hitoweza kuvumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Dear kama yupo nipo tayari kuwa nae nimechoka nishaumia mapenz yakupeana uroda Mimi nimeyachoka sijaona faida yoyote zaid kuumizwa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear kama yupo nipo tayari kuwa nae nimechoka nishaumia mapenz yakupeana uroda Mimi nimeyachoka sijaona faida yoyote zaid kuumizwa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kuna wanawake mmejichoka,labda mtuambie wazi kabisa kua mnajichua yaani uwe na mahusiano na Hanisi kisa wanaosimamisha wamekuumiza moyo? Kumbuka hata vitabu vya Mungu vimekataza mahanisi kuoa sasa sijui wewe mwenzangu unapingana vipi na mola wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kudanganya watu Mbiti,kinachounganisha mapenzi ya mwanamke na mwanaume ni ushiriki mkamilifu wa tendo la ndoa binafsi nimelikosa kwa miezi 6 nimekua na Mawazo mpaka nimekonda sikia hivyo hivyo ndugu yangu labda kwa kua umekili kua utachepuka kitu ambacho kina toa tafsiri kamili kua hitoweza kuvumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
What, miezi sita au nimeelewa vibaya

great thinker
 
Sijakutana nae ila natafuta mwanaume hanisi wakunioa huyu ataniheshimu nitamuheshimu najua hataniumiza nitafurahia maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
dini gani inaruhusu mahanisi kuoa Doris ? Pole sana ila hakuna furaha ya namna hiyo katika ndoa maana utakua na mwanaume dhaifu atayejishtukia hata pale utapokosea kwa bahati mbaya,jiandae kuna na ndoa ya makelele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom