nzikudaima
Senior Member
- May 27, 2017
- 180
- 91
Ndivyo hivyo ,mwenza wangu alipata ajali ya gari February 18 akapata tatizo kwenye nyongaWhat, miezi sita au nimeelewa vibaya
great thinker
Kwa hili shoga napingana na wewe. Dudu lina raha yake jamaniiiah mie km nimempenda haina shida dudu wala sijali shoga !kweli tena ! hao watt tutaadopt ! mie naweza na sitamcheat hata nukta sema akinitibuaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Pole dear mvumilie mumeo mpende usimtende yataisha atapona ila lady j achatu kiukweli moyo umekinai kupendaNdivyo hivyo ,mwenza wangu alipata ajali ya gari February 18 akapata tatizo kwenye nyonga
Ni ngumu sana watu wanaongea tu hapa,unaona kitu ile palee lakini unameza tu mate
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani umeelewa ukitaka usanifu wa kiswahili nenda TUKIMini maana ya hanisi au hanithi,... ??
Bola yamakelele nitavumilia akiongea naweka headphones kuliko kusalitiwa hii inauma![]()
![]()
dini gani inaruhusu mahanisi kuoa Doris ? Pole sana ila hakuna furaha ya namna hiyo katika ndoa maana utakua na mwanaume dhaifu atayejishtukia hata pale utapokosea kwa bahati mbaya,jiandae kuna na ndoa ya makelele
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nikisikia mwanamke kakinai kupenda huwa naumia sanaPole dear mvumilie mumeo mpende usimtende yataisha atapona ila lady j achatu kiukweli moyo umekinai kupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanijibu kwa ghadhabu uwez kuelewa,... Utakula kinachokufaa
Hakuna ndoa ya kuweka headphone usichoshe watu Doris Tatizo nyie mabinti wa kileo mkikatazwa jambo hamsikii.Bola yamakelele nitavumilia akiongea naweka headphones kuliko kusalitiwa hii inauma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Mzee msasambegu unaumia moyo unakinai kupenda kwasababu ushaumia imefika mahali inatoshaAisee nikisikia mwanamke kakinai kupenda huwa naumia sana
Take time bila ya kua na mahusiano,hata miaka mi 2-3 huku ukielekeza dua zako kwa M.Mungu,naamini yeye anatujua zaidi atakuletea aliyekupangia badala ya kumpangia kwa kumtafuta hanithi ukidhani ndio utapata furaha maisha ni,jiandae kuingia kwenye mgogoro mwingine mkubwa zaidi ya wa sasa na badala ya kusubiri hilo likutokee ni vyema ukawa unafanya ibada zaidiPole dear mvumilie mumeo mpende usimtende yataisha atapona ila lady j achatu kiukweli moyo umekinai kupenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanijibu kwa ghadhabu uwez kuelewa,... Utakula kinachokufaa
mradi kiwe halali Sichoshi watu Dada yangu unaongea huenda hayajakukuta ulijaliwa ukapata mume mitihani ya mahusiano hujayapitia Dada mshukuru Mungu kukupa mume anaekuheshimu nakujua thamani yako Mimi naitafuta furaha yangu Na amaniHakuna ndoa ya kuweka headphone usichoshe watu Doris Tatizo nyie mabinti wa kileo mkikatazwa jambo hamsikii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu wa mwisho kabisa kwakoSichoshi watu Dada yangu unaongea huenda hayajakukuta ulijaliwa ukapata mume mitihani ya mahusiano hujayapitia Dada mshukuru Mungu kukupa mume anaekuheshimu nakujua thamani yako Mimi naitafuta furaha yangu Na amani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili shoga napingana na wewe. Dudu lina raha yake jamaniii
hapana,kwangu Mimi mshedede una nafasi yake katika mahusianomie nishavurugwa shogaa sipend dyudyu hatari! bora hao!
Mmmmhshoga umekutana na hanithi?yalaaa!lakini mie km nampenda na ananipenda mie poa tu !serious !