First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Igweeeee!!
tatizo ni nini, kuna nini wakuu?
Suala si lingine nalotaka kulizungumzia ila ni hili la siku zote, NGONO!! Tena Ngono ZEMBE!
Jamani elimu ya kutosha tunapata kuhusu UKIMWI na magonjwa mengine ya Zinaa lakini wapi!!
Misikitini, makanisani, na manyumbani hadi mitaani watu wenye hekima zao pamoja na hao hao wapenda ngono wana prettend kupiga kelele kuwa ngono zembe ipigwe vita,
Serikali na makampuni binafsi yanashirikiana kupiga vita, lakini wapi!!
Kwa kuwa watu wameprettend kama hawaelewi basi wamewekewa hadi alerting bangos
>Acha ngono
>Baki na mmoja
>Tumia condom
>UKIMWI unaua
>Timiza malengo yako
>Jali maisha
>Heshimu ahadi zako
>Jiheshimu
>Jali mwenzako
na mengine lukuki!!!
Khaaaaaaaaa!!!
Sasa ili huyu binadamu aelewe na kukubali afanyiwe nini?
Kwenye maandiko ya dini zetu tumeaminishwa kuwa binadamu ndo kiumbe kilichopewa akili na Mungu kuliko kiumbe kingine!!
Sasa kwa nini tunakuwa wagumu kupokea mabadiliko??
Binadamu afanyiwe nini ili ajipende na kujijali?
Au hatuamini kwamba UKIMWI upo na unaua tena hadi tunawaonea huruma wagonjwa?
Wengine wako kwenye ndoa, sasa kwa nini wasiheshimu ndoa zao?
Kuna sifa ya kuwa bingwa wa kufanya sana ngono?
I submit
First Born
.
tatizo ni nini, kuna nini wakuu?
Suala si lingine nalotaka kulizungumzia ila ni hili la siku zote, NGONO!! Tena Ngono ZEMBE!
Jamani elimu ya kutosha tunapata kuhusu UKIMWI na magonjwa mengine ya Zinaa lakini wapi!!
Misikitini, makanisani, na manyumbani hadi mitaani watu wenye hekima zao pamoja na hao hao wapenda ngono wana prettend kupiga kelele kuwa ngono zembe ipigwe vita,
Serikali na makampuni binafsi yanashirikiana kupiga vita, lakini wapi!!
Kwa kuwa watu wameprettend kama hawaelewi basi wamewekewa hadi alerting bangos
>Acha ngono
>Baki na mmoja
>Tumia condom
>UKIMWI unaua
>Timiza malengo yako
>Jali maisha
>Heshimu ahadi zako
>Jiheshimu
>Jali mwenzako
na mengine lukuki!!!
Khaaaaaaaaa!!!
Sasa ili huyu binadamu aelewe na kukubali afanyiwe nini?
Kwenye maandiko ya dini zetu tumeaminishwa kuwa binadamu ndo kiumbe kilichopewa akili na Mungu kuliko kiumbe kingine!!
Sasa kwa nini tunakuwa wagumu kupokea mabadiliko??
Binadamu afanyiwe nini ili ajipende na kujijali?
Au hatuamini kwamba UKIMWI upo na unaua tena hadi tunawaonea huruma wagonjwa?
Wengine wako kwenye ndoa, sasa kwa nini wasiheshimu ndoa zao?
Kuna sifa ya kuwa bingwa wa kufanya sana ngono?
I submit
First Born
.