Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Huyu jirani yangu msomi mwenye PhD tunaishi naye nyumba ya kupanga. Ni mkorofi sana, anatumia air condition, lakini likija swala la kulipia luku hataki kabisa kuchangia.
yeye ni mtu wa mkoa wa ziwa magharibi uliopo kaskazini magharibi mwa nchi yetu.
Sielewi matatizo yake ya u machi noo yanasababishwa na elimu yake au ni kabila?
yeye ni mtu wa mkoa wa ziwa magharibi uliopo kaskazini magharibi mwa nchi yetu.
Sielewi matatizo yake ya u machi noo yanasababishwa na elimu yake au ni kabila?