Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
umesema kweli babu DC aproaching my 30s this year nimeona mengi na wkt mwingine huwa nahukuru kwa kuyaona yale niliyoyaona kwenye umri mdogo yamenikomazaa mapema sasa kila linalokuja mbele ya macho yangu huwa nashukuru kwa yote na kutafuta a possitive way ya kumaliza badala ya majibizano yasiyo na tija.
Ahsante sana Chauro,
Umenisaidia kuprove kuwa uzee (tena ule wa kweli ambao siyo mcharuko) ni zawadi kutoka kwa Mungu na wanapewa wachache sana...
I am proud to be one of them!!
Babu DC!!