Tatizo na Nyumba Ndogo...

This is the type of discussion that changes my day from a sunny lovely to a rainy muddy one. . .
Mwanajamiione, nadhani sio lazima Nyumba Ndogo ikukere. wengine wanaona sawa tu. Binafsi kinacho nikera zaidi ni the lies involved. Kama mambo yote yanawekwa wazi, then people can take any decision knowing that it is based on facts, not assumptions.
Ukisema I have the perfect marriage, you know what you mean, ukisema I want to leave my man you know what you mean. But most of men lie to both Nyumba kubwa and Nyumba Ndogo who then believe in things that don't really exist and that is what makes it even uglier than it already is to me.

RR my dear...

Love and lies are inseparable; sometime we lie on simple innocent things so that we dont hurt loved ones feeling; but stikcing to the mada
a man or woman wont share his/her infidelity issues with partner.... lakini a true man will always say it clear kwamba he is married/engaged, and what is happening is purely infidelity with no intention ya further committment unless kuna matatizo kwenye ndoa

kumbuka i wont leave my wife go to the streets wonder for a lady charm, prequalification is a continuous process and flirts are orders of our lives

what matters is respect!!! kama kuna mtu anakula mke wangu, nisijue na mke wangu asilazimishe nimchunguze... na kama nimepata nyumba dogo, basi zisiingiliane kabisa na ndoa yangu, kinyume na hapo ni kumaliza hiyo engagement haraka sana
 
Ni kweli usemayo The Boss ila tatizo langu mie ni kuwa hata akirudi saa kumi usiku na vituko juu kwangu ilikuwa ni ngumu kuanza kuumizwa na ....lazima atakuwa na mwanamke mwingine nje" bali nilikuwa naumizwa na ile ya kutotoa taarifa mapema kuwa atachelewa kurudi!!!

basi ukiendelea hivyo itakusaidia saana
sometimes tunavuta vitu kwa hisia zetu
ukiweka hisia kuna nyumba ndogo
itakuja hata kama haikuwepo
 
ukiona hivyo
ujue ushakua sasa
ushaanza tabia za kimama

angalia mama zetu walivyokuwa
analetewa hata mtoto wa nyumba ndogo na analea tu

ndo maana napenda slogan ya babu ODM
'cheat responsibly'

Ni kweli usemayo The Boss ila tatizo langu mie ni kuwa hata akirudi saa kumi usiku na vituko juu kwangu ilikuwa ni ngumu kuanza kuumizwa na ....lazima atakuwa na mwanamke mwingine nje" bali nilikuwa naumizwa na ile ya kutotoa taarifa mapema kuwa atachelewa kurudi!!!
 
word!!!

tena unajaliwa balaa, hakuna sabuni za kunukia, timing, usilewe sana, protect your self you name it

and once you get one.... balaa

Etii?.............. hakuna sabuni za kunukia dah..thanx for the tip Kamanda! and when you say once you get one it means???
 
MTM My dear

If one respects his wife and the promise he made to her mbele ya Mungu kanisani, mbele ya Serikali ya Nchi yake na Mbele ya wazazi wao wote, ndugu, jamaa na marafiki, one doesn't get a nyumba ndogo, one doesn't cheat on his wife.
Nyumba ndogo ni alama ya kukosa both upendo na heshima kwa mke wa ndoa, na kwa anae cheat mwenyewe. A real man don't just say to people he meets out there kwamba he is a married man, he acts like one.
The same is valid for real women.

RR my dear...

Love and lies are inseparable; sometime we lie on simple innocent things so that we dont hurt loved ones feeling; but stikcing to the mada
a man or woman wont share his/her infidelity issues with partner.... lakini a true man will always say it clear kwamba he is married/engaged, and what is happening is purely infidelity with no intention ya further committment unless kuna matatizo kwenye ndoa

kumbuka i wont leave my wife go to the streets wonder for a lady charm, prequalification is a continuous process and flirts are orders of our lives

what matters is respect!!! kama kuna mtu anakula mke wangu, nisijue na mke wangu asilazimishe nimchunguze... na kama nimepata nyumba dogo, basi zisiingiliane kabisa na ndoa yangu, kinyume na hapo ni kumaliza hiyo engagement haraka sana
 
RR... me love that neck in the avatar, sexy!!!:nerd:
Nenda page ya Adriana Karembeu, pata hii picha ilipo, mgongee like. hahahaha

pole kwa discussion hii kubadili mood yako
Thank you Boss... Kwanza ngoja nitoke tu hapa, MTM amesha anza kunipotezea mood. lol

hii shingo nzuri
ndo tunazosema 'shingo ya upanga'
ila napenda zaidi kile kifua kilichoondoka :)
Na wewe kamgongee like huyu mdada kwenye homepage yake. hahaha
 
Hahahha Shem, ndo ki-Amharik hicho nini? nashukuru

mh...........mie hadi naogopa maana nahisi pengine ni ishara kuwa sijawahi kupenda! ingawa najiona am head over heels !

Mimi napenda mwanamke anifikirie pia bana! kama yeye ana uhakika hawezi kunipatia ile kitu at least kila baada ya siku 2 na anajua mimi nikiikosa ile kitu kwa siku 2 napoteza memori mpaka za besdei yangu, sasa hauoni kwamba kunibania nyumba ndogo ni mateso? (Huu ni mfano tu). Mwanamke anaempenda na kumfikiria mwanaume lazima atamwachia tu. Shem hauna ndugu wa kike mwenye msimamo kama wako? lol
 
MTM My dear

If one respects his wife and the promise he made to her mbele ya Mungu kanisani, mbele ya Serikali ya Nchi yake na Mbele ya wazazi wao wote, ndugu, jamaa na marafiki, one doesn't get a nyumba ndogo, one doesn't cheat on his wife.
Nyumba ndogo ni alama ya kukosa both upendo na heshima kwa mke wa ndoa, na kwa anae cheat mwenyewe. A real man don't just say to people he meets out there kwamba he is a married man, he acts like one.
The same is valid for real women

Mupenzi

i didnt know we were sharing true life experience.... so whatever i wrote is what i perceive to be right my dear

whatever you read doesnt mean ni mimi nafanya

Au si ndio dhana ya MMU kuwepo?? kupeana kapiriensi na maujanja???
 
MTM My dear

If one respects his wife and the promise he made to her mbele ya Mungu kanisani, mbele ya Serikali ya Nchi yake na Mbele ya wazazi wao wote, ndugu, jamaa na marafiki, one doesn't get a nyumba ndogo, one doesn't cheat on his wife.
Nyumba ndogo ni alama ya kukosa both upendo na heshima kwa mke wa ndoa, na kwa anae cheat mwenyewe. A real man don't just say to people he meets out there kwamba he is a married man, he acts like one.
The same is valid for real women

umenigusa paka kwenye maini .
 
Wapendwa je wote mu wazima?

Nisaidieni ninaomba kwani nafikiri sijitambui au sijijui.

Mbona mimi sipati shida wala kushtushwa na suala zima la nyumba ndogo!!
Je inawezekana kuwa sijawahi kupenda? au?
Je kuna mwenzangu/wenzangu ambao wana hali kama hii?

Nadhani umejikatia tamaa kuachana na mambo ya kuktesa wakati mumeo hataiacha. Vizuri kujipa raha mwenyewe kuliko kuteswa na mambo ya nyumba ndogo, maana mume akishapenda hawezi kuiacha nyumba ndogo kama haijamkorofisha.
 
Mupenzi

i didnt know we were sharing true life experience.... so whatever i wrote is what i perceive to be right my dear

whatever you read doesnt mean ni mimi nafanya

Au si ndio dhana ya MMU kuwepo?? kupeana kapiriensi na maujanja???
I didn't mean kua ni experience yako... Ngoja nipige editing basi nieleweke vizuri, isionekane personal attack. Sorry if I made you feel that way.
 
I didn't mean kua ni experience yako... Ngoja nipige editing basi nieleweke vizuri, isionekane personal attack. Sorry if I made you feel that way.

AISEE... RR kumbe ana soft spots, yuhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

halafu mambo ya kuedit post zangu aisee; si utakua unasoma post nnazomwandikia mpoleeeeee

Me love this sunday, :focus:
 
AISEE... RR kumbe ana soft spots, yuhuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

halafu mambo ya kuedit post zangu aisee; si utakua unasoma post nnazomwandikia mpoleeeeee

Me love this sunday, :focus:
I just edited what I said, sikugusa ulicho sema wewe... Halafu mpolee yuko wapi? anasoma hata sunday? ukimuona mpe salam.
 
Back
Top Bottom