TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,893
- 11,290
This is the type of discussion that changes my day from a sunny lovely to a rainy muddy one. . .
Mwanajamiione, nadhani sio lazima Nyumba Ndogo ikukere. wengine wanaona sawa tu. Binafsi kinacho nikera zaidi ni the lies involved. Kama mambo yote yanawekwa wazi, then people can take any decision knowing that it is based on facts, not assumptions.
Ukisema I have the perfect marriage, you know what you mean, ukisema I want to leave my man you know what you mean. But most of men lie to both Nyumba kubwa and Nyumba Ndogo who then believe in things that don't really exist and that is what makes it even uglier than it already is to me.
RR my dear...
Love and lies are inseparable; sometime we lie on simple innocent things so that we dont hurt loved ones feeling; but stikcing to the mada
a man or woman wont share his/her infidelity issues with partner.... lakini a true man will always say it clear kwamba he is married/engaged, and what is happening is purely infidelity with no intention ya further committment unless kuna matatizo kwenye ndoa
kumbuka i wont leave my wife go to the streets wonder for a lady charm, prequalification is a continuous process and flirts are orders of our lives
what matters is respect!!! kama kuna mtu anakula mke wangu, nisijue na mke wangu asilazimishe nimchunguze... na kama nimepata nyumba dogo, basi zisiingiliane kabisa na ndoa yangu, kinyume na hapo ni kumaliza hiyo engagement haraka sana