Tatizo lolote la PC/device

Pc yangu aina ya dell ukitikisa stand(meza)ambayo nimewekea basi inazima nini tatzo pia tatzo la kuleta mawimbi mawimbi kwenye screen nini tatzo


Hapo unatakiwa uangalie vga cable yako ya pc hiyo ni kuhusu kuleta mawimbi,

Pia angalia kioo chako na sehem ambayo inaunganisha sehem ya kioo na motherboard apajakuwa pamelegea?

Kuhusu kuzima hiyo inawezekana kuna sehem Inagusana ndani ya motherboard Kwaiyo inasababisha short circuited na ilo inabidi ulifanyie mapema though ipo siku pc yako utaikosa
 
mkuu pirate kuna swali moja watu walielezea sana kuhusiana na pc kuzima ghafla na baadae display kutoonesha chochote ila taa za kwenye keybord kuwaka na kuzima kama indicator hili tatizo limekumba pc yangu nilikuwa naitumia vizuri sana ikazima tu ghafla.
Now nikiiwasha tu feni inazunguka sana afu taa za kweny keybody zinawaka na kuzima karibia saa nzima ni hvyo hivyo nimejaribu kutoa betri na kuwasha bila betri lakni bado nikachomoa ram na kuwasha bila ram iko vile vile nifanyejena tatiz ni nini? Ni hp elitebook

Tatizo la kuwaka taa tu hizo ni kutokana na either kuna video driver corrupted au taa za display zinasumbua, anyway swali ni hivi ulishawahi kuextend video kwenda Kwenye desktop?
 
hello members...nahtaj msaada..macbook yangu ni v10.7.5 au Lion version..kila nikidownload app appstore inanambia nahtaj v10.8 had v12 kabisaa..
nmeshindwa kudownload app nyng na za muhmu sana.kwa yyte anayeweza kunisaidia hli jambo..au anisaidie direct link za google ili niweze ku download hzo app...


Mkuu Kwann usi-upgrade hiyo system yako?
 
Pc yangu nikiunganisha intanet inakula mb sana, yaan gb1 inakwisha ndani ya dk1. Tatizo nini wajuzi?

Je matumizi yako yapoje?, maana loading na contents za pages ndio zinakula MB’s na je audownlod vitu?
 
Habari zenu.pc yangu ni kama tv umeme ukikata nayo inazima.nilinunua betri mpya ilivyoisha chaji mambo yakawa ni yaleyale.kwa ufupi haichaji.nn tatizo. Ni Samsung


Kama betri ni jipya na alicharge Embu cheki hiyo charger output ni sawa na input ya betri lako, siku hiz charger nying za laptop wanauza za 65w Wakat ambazo zinaweza kucharge betri ni 90w Kwaiyo cheki hivyo, or badilisha vyote charger na betri
 
Nina Toshiba ilikuwa inasumbua speakers niliifungua ili nirkebishe kabla sijamaliza niliifunga baada ya kufunga keyboard hazifanyikazi ,na nimejaribu kutumia external keyboard lakin hairespond
 
Nna laptop ilianza ukiwa unacheza video au movie ina scrach au kustak flan kama vile imelemewa na mzigo inakiwa nzito.

Ukicheza audio inakuwa poa. Nikakomaa kui update wapi, update bios bila bila, weka sound driver mbalimbali updated hola.

Nilikuwa nimeweka window 8 nika upgarade to 10, tatizo lipo palepale, nikashusha hadi 7, tatizo palepale. Nikaenda XP hakuna uponyaji.

Ikabidi nirud win 7, nikawa sina namna, sasa saizi hadi audio uki play tatizo limeongezeka inakuwa kama na play video. Ina stack na kuskip kama CD au DVD mbovu ndio inachezwa.

Kwingine naona ipo poa tu, speed nzuri kwenye mambo mengine ya ku navigate from place to place.

Msaada mwenye ufumbuzi
 
Kuna pc nimesahau password nikiwasha tu inanitaka niingize password ili iweze kuendelea sasa nimesahau msaada tafadhali naomba
 
Mie tatizo langu ni kuwa nashindwa kuscroll kwa kutumia vidole viwili kama zamani. Pc yangu Notebook HP 250 G3 niliinunua ikiwa na window 8.1 na nilikuwa naweza kuscroll kwa vidole viwili. Lakini window ilicorrupt nikaipiga chini. Nimeinstall upya window hiyo hiyo lakini tangu hapo siwezi tena kuscroll kwa vidole viwili.
Naomba msaada wadau.
 
Mie tatizo langu ni kuwa nashindwa kuscroll kwa kutumia vidole viwili kama zamani. Pc yangu Notebook HP 250 G3 niliinunua ikiwa na window 8.1 na nilikuwa naweza kuscroll kwa vidole viwili. Lakini window ilicorrupt nikaipiga chini. Nimeinstall upya window hiyo hiyo lakini tangu hapo siwezi tena kuscroll kwa vidole viwili.
Naomba msaada wadau.


Update drivers za mouse and touchpad tatizo litakwisha.
 
Nina Toshiba ilikuwa inasumbua speakers niliifungua ili nirkebishe kabla sijamaliza niliifunga baada ya kufunga keyboard hazifanyikazi ,na nimejaribu kutumia external keyboard lakin hairespond

Je kila kitu kinakubali? Au ni hiyo keyboard pekee?

Tuanze na hapo kwanza,
 
Nna laptop ilianza ukiwa unacheza video au movie ina scrach au kustak flan kama vile imelemewa na mzigo inakiwa nzito.

Ukicheza audio inakuwa poa. Nikakomaa kui update wapi, update bios bila bila, weka sound driver mbalimbali updated hola.

Nilikuwa nimeweka window 8 nika upgarade to 10, tatizo lipo palepale, nikashusha hadi 7, tatizo palepale. Nikaenda XP hakuna uponyaji.

Ikabidi nirud win 7, nikawa sina namna, sasa saizi hadi audio uki play tatizo limeongezeka inakuwa kama na play video. Ina stack na kuskip kama CD au DVD mbovu ndio inachezwa.

Kwingine naona ipo poa tu, speed nzuri kwenye mambo mengine ya ku navigate from place to place.

Msaada mwenye ufumbuzi


Kama unaweza ipeleke kwa Fundi akuchekie video card labda ndio source ya matatizo yotte.

Je uwa unacheza video games , kama uwa unacheza uwa azigandi gandi?
 
Ukitaka kuplay video kwenye pc inaandika video can't play .Try to write it correctly!
Nadhan hii ni kwa window player tu lakin app zingine zote zinafungua kama kawaida.
 
OK simply solution inawzekana ikawa ni CPU Inafanya over-heat (inapata joto) kupitiliza, so cha kufanya mpelekee huyo fundi labda aweke CPU cooler paste inaweza ikasaidia,

Or

Inawzekana pia motherboard sio compatible ni CPU aloiweka

Pirate

Mkuu Asante kwa elimu . Nadhani Nina shida hio hio pc yangu ilikua poa saana as of recently ukiwasha inanguruma sana then inapata moto then inazima hii CPU cooler paste kwa estimates na ufundi inaweza ku cost kiasi gani na wapi naweza pata Fundi mzur
 
Mkuu Asante kwa elimu . Nadhani Nina shida hio hio pc yangu ilikua poa saana as of recently ukiwasha inanguruma sana then inapata moto then inazima hii CPU cooler paste kwa estimates na ufundi inaweza ku cost kiasi gani na wapi naweza pata Fundi mzur


Anyway cjui ulipo lakin tatizo mafundi awapo na fixed price,but hiyo cooler paste inauzwa 6000Tsh
 
Back
Top Bottom