Tatizo lilianza pale mliposema kuwa Simbachawene ana uwezo mkubwa na Busara kuliko Mwigulu Nchemba

Tatizo lilianza pale mliposema kuwa Simbachawene ana uwezo mkubwa na Busara kuliko Mwigulu Nchemba

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,773
Reaction score
5,930
Mlipomsifia tu kuwa Simbachawene anabusara na uwezo mkubwa wa kufanya shughuli za umma.

Hapo ndipo yalianza matatizo

image_search_1767964246344.jpg
 
Enzi za magu alijaribu kuteua watu wa aina moja, ndio unawaona akina makonda na sabaya, wengine akina mtaka, kasesera, heri james na wengine kwenye regime ile walijititimua ili nao wafanane kariba na bosi wao, ilikuwa ni mwendo mdudo, huwezi unatumbuliwa
 
Kwa vile ana uwezo wa kukariri ama kumeza Kama kasuku akafaulu aliyopewa kuyameza basi mie najua hata kuomgoza
 
Kwa vile ana uwezo wa kukariri ama kumeza Kama kasuku akafaulu aliyopewa kuyameza basi mie najua hata kuomgoza
Polisi wamemfanya nini Simbachawene? Usishangae akabambikwa kesi km yule waziri mstaafu fulani
 
Mlipomsifia tu kuwa Simbachawene anabusara na uwezo mkubwa wa kufanya shughuli za umma.

Hapo ndipo yalianza matatizoView attachment 3527433
Niliona clip yake TIKTOK, huyu jamaa aliongea kwa busara sana kuhusu mahusiano ya polisi na raia.
Aliahidi kuchukua hatua za kuliunganisha tena jeshi hilo na raia mapema kuanzia January hii.

Lakini inaelekea jambo hilo lilimuudhi Hangaya kwa vile yeye anataka kutumia polisi kama fimbo ya kuchapa yeyote mwenye mawazo chanya.
 
Biteko pia katemwa kwa hoja hii!

Actually VP naye haendani kabisa na hii safu ndiyo maana uliona mashehe wakipenyeza fitina juu ya ukimya wake!!
 
Back
Top Bottom