Tatizo la uume kusimama moja kwa moja

Tatizo la uume kusimama moja kwa moja

Mke wa mtu ni sumu, mtafutie maziwa anywe atakuwa sawa.
Hilo ni #FUNZO

Anyway...
  • kama sio chai, aende kweny maombi.
  • au akaombe msamaha tu
  • mwisho kabxa akifel, aanze doz ya asiri.(maji+kaa la moto+jivu la moto+chumv ya mawe+jivu la jalalan+msaka uchawi+itinginya) doz morning to sleep time.
AU
(mkojo wa ahsubh+chumvi ya mawe) aoge ahsubh mapema kwa manuiz, shart asiongee na mtu had amalze kuoga na kakauka.

DOZI HIYO HAPO, Tumbili wa Mjini
 
Niaje wajuba!

Kuna jamaa yangu hapa uume / warhead yake imesimama moja kwa moja Leo ni siku ya tano anashindwa afanyaje,

Mkasa upo hivi alikula demu wa jamaa lwa kumhonga Hela tangu siku hiyo haijalala, uzuri kinachomsaidia ni kwamba jamaa ana kibamier,
Mpeni ushauri mwanetu
eti uzuri ana kibamia! Kwani kibamia kikisimama hakionekani kutunisha suruali?
 
Kwaiyo sisi wanaume tukitembea wewe unakuwa makini kutazama mboro zetu?

Hivi nyie madogo mna shida gani mna left group mnatuachia hawa mademu wazuri wenyewe
Tulia kijana , nipo serious usichukulie hili swala kiutani, hebu fikiria likukute hata Kwa nusu siku kabla hujaanza kulia
 
Back
Top Bottom