RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,344
- 2,948
Nimegundua watu wengi wanapata tatizo la uume kutokukua na kurefuka kwa sababu mbalimbali kuanzia vyakula wanavyokula hadi life styles kwa ujumla ila leo ntakwambia njia moja ambayo itafanya uume wako uwe huru kukua na kurefuka na wenye afya na nguvu
Njia iyo ni kama umekuwa unavaa boxer kila wakati siku nzima hadi wakati unapolala achana na iyo issue kwanza wazungu sijui walifikiria nini kuja na boxer mi navyohisi walikuja na ubunifu huu kwa ajili ya kundi fulani kuzivaa na sio kwa kila mtu ila sisi tukazivamia na kuanza kuzivaa
Hasara moja wapo ya kuvaa boxer ni kuubana uume na kushindwa kupata hewa na kushindwa kuwa huru na pia unapotaka kusimama uzuiwa na boxer , tumia akili ya kawaida uume ni kama mmea unaochipua wakati wa germination halafu uwe unakutana na vipingamizi kama hakuna hewa , maji na unazuiwa na vitu kurefuka na kuchipua sa mwisho wa siku si utadumaa au kushindwa kuchipua kabisa sasa ni kama uume tu tunavyoufanya😀😀we muda wote mtoto wako unambana na maboxer unafikiri atakosa kuwa na kibamia?
Ushauri wangu kwa vijana tunatakiwa kuvaa bukta sana kila wakati aswa kipindi unapolala au ata kutwa nzima na kuachana na boxer na tuwe huru kudindisha na sio kuvaa boxer ili ikusaidie kuzuia uume kusimama hapo ni unajitafutia matatizo .
Kingine cha kukushauri kama kijana ili uwe na uume mkubwa na mrefu na wenye nguvu ni kula vyakula vyenye virutubisho mbalimbali kama mboga za majani, mlenda, bamia, msusa( mboga za maboga zenye karanga, ) kula karanga , ugali, wali yaani usile chakula cha aina moja daily ata kama ndo umezoea ila kula vyakula vya asilo izo ndo dawa na utasahau na kulisikia tatizo la nguvu za kiume redioni tu
Kwa leo ndo ayo tu ndugu zangu
Njia iyo ni kama umekuwa unavaa boxer kila wakati siku nzima hadi wakati unapolala achana na iyo issue kwanza wazungu sijui walifikiria nini kuja na boxer mi navyohisi walikuja na ubunifu huu kwa ajili ya kundi fulani kuzivaa na sio kwa kila mtu ila sisi tukazivamia na kuanza kuzivaa
Hasara moja wapo ya kuvaa boxer ni kuubana uume na kushindwa kupata hewa na kushindwa kuwa huru na pia unapotaka kusimama uzuiwa na boxer , tumia akili ya kawaida uume ni kama mmea unaochipua wakati wa germination halafu uwe unakutana na vipingamizi kama hakuna hewa , maji na unazuiwa na vitu kurefuka na kuchipua sa mwisho wa siku si utadumaa au kushindwa kuchipua kabisa sasa ni kama uume tu tunavyoufanya😀😀we muda wote mtoto wako unambana na maboxer unafikiri atakosa kuwa na kibamia?
Ushauri wangu kwa vijana tunatakiwa kuvaa bukta sana kila wakati aswa kipindi unapolala au ata kutwa nzima na kuachana na boxer na tuwe huru kudindisha na sio kuvaa boxer ili ikusaidie kuzuia uume kusimama hapo ni unajitafutia matatizo .
Kingine cha kukushauri kama kijana ili uwe na uume mkubwa na mrefu na wenye nguvu ni kula vyakula vyenye virutubisho mbalimbali kama mboga za majani, mlenda, bamia, msusa( mboga za maboga zenye karanga, ) kula karanga , ugali, wali yaani usile chakula cha aina moja daily ata kama ndo umezoea ila kula vyakula vya asilo izo ndo dawa na utasahau na kulisikia tatizo la nguvu za kiume redioni tu
Kwa leo ndo ayo tu ndugu zangu