Sisi wazalendo tunakerwa sana na uzembe wa TAA kuanza ujenzi wa jengo la uwanja wa ndege wa Mwanza, wameahidi mara kadhaa kwa Mkuu wa Mkoa, kuwa pesa imetolewa na Rais bilioni 30 sasa.
Kinachochelewesha ni nini? Songwe imeishakamilika, Tabora, Iringa, Tanga, Msalato, Arusha, Moshi vinajengwa au michakato ya ununuzi kukamilika Kiwanja cha Mwanza kuna nini, nadhani kuna namna Rais suala hili lichukue mwenyewe binafsi kuna mchezo na figisu zinachezwa na kudhalilisha mamlaka.
Kinachochelewesha ni nini? Songwe imeishakamilika, Tabora, Iringa, Tanga, Msalato, Arusha, Moshi vinajengwa au michakato ya ununuzi kukamilika Kiwanja cha Mwanza kuna nini, nadhani kuna namna Rais suala hili lichukue mwenyewe binafsi kuna mchezo na figisu zinachezwa na kudhalilisha mamlaka.